Tasher

Kuna jamaa wa Geita sikumbuki vizuri maeneo gani, aliwahi kutupia nyago humu aiseeee......
Alishambuliwa kana kwamba paka mwizi, na fully kuzodolewa aiseeee, jamaa alichambuliwa kama mchele vile na mbaya zaidi wanaume ndio walikua wauaji wake wakubwa
Team TUSIONAJEMA Tupo
 
Siku hizi watu wanapenda kiki mpaka wanatumia their realy name
 
Kuna jamaa alitupia picha.. akaitwa mshamba... ila huyu demu kila mtu anaona alichokifanya ni sawa..
Vijana wanaongozwa na udhaifu,mwanaume kwa mwanamke hata awe baunsa lazima awe mpole... Pili udhaifu wetu sisi wanaume...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…