Tasher

Kuna jamaa alitupia Picha akashambuliwa hapa ila Natasha Toto la kipare lazima atapokelewa kwa bashasha..
Sasa mtoto mrembo kama huyu tunaanzaje kumshambulia kaka[emoji23] [emoji23]??
Hapa midume inawinda PM tu
Hata mimi ngoja nivune matikiti yangu next week namfata PM
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…