Tashriff Luxury Coach acheni utapeli

Tashriff Luxury Coach acheni utapeli

Kamawewe

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
533
Reaction score
521
Hebu fikiria joto lilivyo kali unaenda kukata tiketi wanakwambia bus lao luxury lina AC.

Lakini unasafiri Tanga hadi Mtwara hakuna AC na hata baadhi ya vioo havifunguki ovyo kabisa basi letu si la kupanda pia muwe wakweli mtoe mnachoahidi wacheni utapeli kama vipi bakini huko kwenu Tanga, Mtwara tunahitaji magari yanayoeleweka sio nyie na maseat yenu ya vitambaa yananuka uvundo.

Tafadhali LATRA tukilipa hizi nauli za luxury sijui VIP muwe mnafutilia kama tunapafa tunachostahili
 
Pole sana kwa kusafiri na joto hili huku vioo havifunguki na AC hamna. Utakuwa ulifika boxer yote imelowa jasho
 
Kabla ya kulalamika hapa, jiulize kwanza, hiyo nauli uliyotoa wewe ina hadhi ya kulingana na kupewa huduma ya luxurious unayoistahili?! Sijaona basi yoyote ya luxury level zilee za scandnavia mpaka sasa!
 
Umevumilia kimya kimya toka tanga hadi mtwara umekuja kulilia Huku [emoji3061]
Mkuu kufika Mtwara wapi hivi sasa tupo Kijichi watu wako chini ya uvungu wanaitengeneza, gari ya Tanga Mtwara leo kimeo balaa hapa watu wanatukana matusi yote
 
Kabla ya kulalamika hapa, jiulize kwanza, hiyo nauli uliyotoa wewe ina hadhi ya kulingana na kupewa huduma ya luxurious unayoistahili?! Sijaona basi yoyote ya luxury level zilee za scandnavia mpaka sasa!
Mkuu naili inastahili kabisa na hata wenyewe wanakwambia ina Ac ni wahuni tuu wanafanya watakavyo LATRA wafuatilie
 
Mkuu kufika Mtwara wapi hivi sasa tupo Kijichi watu wako chini ya uvungu wanaitengeneza, gari ya Tanga Mtwara leo kimeo balaa hapa watu wanatukana matusi yote
Tashirifu hamna kitu mule! Wamebaki na jina tu,gari hawana,wanapitwa hadi na Nacharo!!!
 
Back
Top Bottom