Tasnifu ya Shahada ya Umahiri ya Rais Samia inaonesha kufanyiwa na zaidi ya mtu mmoja

Tasnifu ya Shahada ya Umahiri ya Rais Samia inaonesha kufanyiwa na zaidi ya mtu mmoja

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
usomi ni kitu kinachopendwa sana hasa na wale wasio na ubavu wa kusoma. Viongozi wetu wa kada zote wanapenda kujibebesha au kubebesha kwa kuzawadiwa vyeo hivyo baada ya kuhonga ili waheshimike bila stahiki. Leo nawaleteeni masters ya mkuu wa kaya muamue wenyewe kama ni somi au kihiyo.

Pamoja na usomi wangu, sijui kama kuna shahada inaweza kusomewa na watu zaidi ya mmoja kwa pamoja wakatunukiwa. Je wataigawana vipi. Nisiharibu mchuzi. Naomba tufuatane wenye muda msome na mtupe mrejesho

Screenshot_20231025_065809_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20231025_065829_Samsung Notes.jpg
 

Attachments

Back
Top Bottom