taswira katika taifa!

Rugas

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2009
Posts
1,048
Reaction score
197


Huku ni kigoma...

Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM
 
DECEMBER9 mwaka huu tutasherehekea miaka 50 ya UHURU! subirini muone hizo mbwembwe na majigambo ya CHAMA TAWALA kwamba tumepiga hatua kubwa kimaendeleo!
Yaani wimbo ni UTULIVU NA AMANI kila kukicha!
WE NEED MABADILIKO SASA!
 


Huku ni kigoma...

Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM

Ukiwauliza watakwambia Kigoma haichangii chochote katika pato la taifa. Mhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…