Rugas JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 1,048 Reaction score 197 Jan 15, 2010 #1 Huku ni kigoma... Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM
Huku ni kigoma... Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM
K Kasanga Member Joined Feb 19, 2009 Posts 77 Reaction score 9 Jan 15, 2010 #2 DECEMBER9 mwaka huu tutasherehekea miaka 50 ya UHURU! subirini muone hizo mbwembwe na majigambo ya CHAMA TAWALA kwamba tumepiga hatua kubwa kimaendeleo! Yaani wimbo ni UTULIVU NA AMANI kila kukicha! WE NEED MABADILIKO SASA!
DECEMBER9 mwaka huu tutasherehekea miaka 50 ya UHURU! subirini muone hizo mbwembwe na majigambo ya CHAMA TAWALA kwamba tumepiga hatua kubwa kimaendeleo! Yaani wimbo ni UTULIVU NA AMANI kila kukicha! WE NEED MABADILIKO SASA!
Mazingira JF-Expert Member Joined May 31, 2009 Posts 1,833 Reaction score 301 Jan 15, 2010 #3 Rugas said: Huku ni kigoma... Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM Click to expand... Ukiwauliza watakwambia Kigoma haichangii chochote katika pato la taifa. Mhhh!
Rugas said: Huku ni kigoma... Hawa nao ni watoto wa walipakodi,na sehemu ya kodi hizo ndo imetumika kujenga nyumba ya gavana,.......shame upon CCM Click to expand... Ukiwauliza watakwambia Kigoma haichangii chochote katika pato la taifa. Mhhh!