TATAKI hali si shwari.

TATAKI hali si shwari.

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319
kuna zengwe hapa kati ya uongozi na wanafunzi wa BA Kiswahili kuhusu suala la field. mkurugenzi, dk.mutembei amekuja na kutaka kuhamisha mada kuu. akaanza kulaumu wanafunzi kwa kuwasha mafeni na ac kwenye chumba no. 204. alipobanwa akadai hana nafasi mpaka saa 10. ndo twamsubiri hapa!
 
Prof. mutembei ameingia hapa, naona anaanza kuattack personality za viongozi badala ya hoja iliyopo mezani!
 
Mkurugenzi mshiriki dk. chiduo analeta ubabe usio na msingi. anafoka bila sababu hapa!
 
Yaani unatupa lecture yako ya BA kiswahili, sio? how interesting...
 
jamaa kilaza kweli we unaongea ukifikiri sote tunaijua b.a kiswahili yako.ebu andika vizuri huko,acha kukurupuka.
 
jamaa kilaza kweli we unaongea ukifikiri sote tunaijua b.a kiswahili yako.ebu andika vizuri huko,acha kukurupuka.

Dah, haya bwana. maybe next time! ila kwa sasa pokea kilichopo....
 
zengwe la jana limetokeza mgomo! wanafunzi wa iks wamekusanyika hapa utawala, wanashinikiza kuonana na uongozi wa juu wa chuo!
 
BA ya KISWAHILI Oyeeeeeeeeeeee, BA Zote za SAYANSI ziiiiiiiiiiiiiiiiii. Mainjinia wote ziiiiiiiiiiiiiiii

Mkuu buji? ahsante kwa concern yako! unajua ishu hapa ni field, sasa director wa iks anatuambia kabisa ati mwaka wa pili hakuna field, na mwaka wa kwanza haikuwepo. unafikiri ni aina gani ya degree tutakuwa nayo after graduation?
 
Hivi B.A Kiswahili field mnafanyia wapi vile?
 
uongozi wa chuo umetoa order kwa mkurugenzi wa tataki. aandae mchakato wa field na ofisi yake itauharakisha! angalau ni habari njema kwetu wanafunzi... tumewapa muda!
 
wanafunzi wa TATAKI inaonekana wamekurupuka bila kufuata hatua stahiki. Nilishangaa yule dada mfupi mweusi kiaina alivyokua anapiga kelele na kuahamsisha wenzie wapige kelele lakini baadae ndiyo wa kwanza kuyeyuka. Tuongee ukweli hapa na tujadili uhalisia wanajamii, hivi vita yote hiyo ni ya kutaka uwadani (Practicle training) au kutaka pesa za uwadani? Kimsingi tuko kipesa zaidi na siyo kielimu. Tutambue kuwa package ya course mpaka ipitishwe na seneti lazima iwe inakidhi mahitaji ya mwanafunzi na ndiyo maana wenzetu wa sheria wanaenda field baada ya kumaliza chuo (law school). Uhauri wangu ni kuwa wanatataki tusihangaike sana kubishana na wenye makali kwa staili ya kutumia nguvu maana mwishoni wataona nia yenu ni pesa na siyo elimu hivyo wanaweza kupeleka pendekezo kuwa asiyeweza kusoma hii kozi bila kwenda uwadani aache chuo au kuifuta moja kwa moja. Tukumbuke na tujiulize UDOM ilikuaje na sasa wako wapi? Yatupasa kutumia akili na maarifa zaidi. Viongozi waandike mswada (concept) utakaoanisha dhumuni halisi na umuhimu wa uwadani wakianzia na mawazo wa nafunzi wote, walimu wao ndio iende ngazi kwa ngazi hadi ifike kwa mwenyekiti wa seneti la sivyo tutaandikia mate wakati wino tunao.
 
we mngese kweli.
Nilijifunza ukiwa mwanafunzi kupata div 0 au 1 ni kazi sana, hivyo hivyo JF kupata ban ni kazi kweli, sasa naona wewe unajitahidi kuisogelea hiyo ban. Endelea PAW atakapitia ka ID kwa wiki mbili hivi naona itakusaidia kurudisha heshima.
 
Back
Top Bottom