Tataki kujipatia mahela

Tataki kujipatia mahela

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,459
Reaction score
699
Jamani wadau wa elimu, tunashangazwa na hawa jamaa wa TATAKI UDSM eti wanatunga vitabu vya sekondari kwa kiswahili kama njia ya kukuza kiswahili wakati mitaala ya kufundishia kwanza hakuna Tanzania (kama tulivyoambiwa) na hukuna mwongozo pia, je hiyo si njia ya kujipatia fedha pasipo kuwa na tija? Elimu inapanda au inaporomoka? Mutembei upooo?:A S 39:
 
Back
Top Bottom