Prince Rysir
Member
- Dec 14, 2016
- 8
- 1
We unadhan alishndwa kumlipa hudda au n v2 flan hawakuafikianaKumbe aliingiza mipesa yote hiyoo..vipi mbona huddah akashindwa kumlipa akashindwa kutokea
Elf 50 kianzio [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pimbikiba kule Dom alilipwa sh.ngapi?
Ushawahi kumuona Mungu au Yesu k/koo.? Mbona unaamini.? Hzo data wanaweza kutunga tu [emoji1]Hayo ni maelezo tunahitaji ushahidi, no data no right to speak.
Alitaka M10 wcb walikusudia kumlipa M5Alitaka ngapi,na WCB walikusudia kumpa ngapi .......??
Unasema kwel.? Kwahyo unasema wale walio ingia walikuw wanahesabiana.? Au tulikuw tunahesab tiketi.? Unajua Nafasi inayokaa gari kumi inaweza kukaa watu 100.? Ndo ujue nafas ya eneo husika huwez kuhesabu kwa kuangalia tuUongo
Kila alie ingia pale Jangwani ukimuuliza wale watu hawakufika hiyo idadi uliyosema
Hata Diamond anajua hivo
Alishindwa kumlipaWe unadhan alishndwa kumlipa hudda au n v2 flan hawakuafikiana
Hahaah mkuu maisha nje ya ualimu yanawezekanaticha frank nakuona una kula buyu tu hivi unajua umeleta gundu ad walimu wenzio wa art hawatopata ajira mpaka 2019
we endelea kupiga mayowe mwenzako kiba anasukuma bmwx5 wewe utakuta gari yako ya gharama kupanda ni mwendokasi wewe hushangai kwa nini wasanii wengi ukiachana na domo huwa wanamkubali sana jamaa halafu siyo mtu wa show off.Kiba kazomewa tu huko dodoma wakati mwenziy anaimba uwanjani yeye kiba salome anaimba kirabuni.
sawa dah ila yule dgo ulimtia makofi haloo watoto wako wajiandae kisaikology na kama sikoseh ulikuwa 833kj arusha ila sijuh ulikuwa coy ipiHahaah mkuu maisha nje ya ualimu yanawezekana
Alright then[emoji40] [emoji40] [emoji40]Come on sweetheart... acha kumlisha danya maneno! Hajasema kwamba pesa zote ni za Diamond... ni nani angesema zote ni za Diamond wakati inaeleweka Diamond ana watu nyuma yake?! Hiki ndicho amesema:Alichosema ni kwamba, pesa inaingia WCB na sio kwa Diamond!
Lakini ingawaje pesa inaingia WCB, ukweli ni kwamba yeye atakuwa ndie mwenye mgao mkubwa zaidi, kwa sababu:
Mosi, udhamini wa Vodacom umetokana na nafasi ya Diamond as Vodacom Brand Ambassador.
Pili, Diamond ndie Lead Act kwenye shows zote mbili!
Aidha, hapa tukumbushane kwamba uhusiano wa kibiashara wa Vodacom si Vodacom vs WCB bali ni VodaCom vs Diamond!
Hilo nalo linahitaji maelezo ya kutosha kwa sababu, kutokana na ukweli huo, basi VodaCom Wasafi Beach Party/Iringa Festival inaweza kuwa na sura tofauti tofauti.
Promotions ya mtandao wao tu ndio inatosha kwao' hyo m190 waliyoingiza wasafi Voda wanaingiza in 1hourHivi kwenye hyo m 104 voda yao inakuwa ngapi? Au wanafaidika vipi na kuandaa show kwa ujumla?
Na wewe ulipata shilingi ngapi?Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!
Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL! Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! .... Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)
Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!
Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800
Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+
Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000
Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+
Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+
Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000
Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+
Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+
Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!
Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!
Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?
Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!
Hiyo Tathimini
DANYA nawasilisha!
naona meneja MUGABE katika ubora wake wa kuongeza sifuriNajua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!
Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL! Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! .... Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)
Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!
Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800
Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+
Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000
Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+
Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+
Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000
Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+
Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+
Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!
Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!
Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?
Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!
Hiyo Tathimini
DANYA nawasilisha!
Sikuwepo eneo la tukio ila kuniambia waliandaa eneo la watu 1500 ila wakaingia 3000 naona kama umekuza mambo.Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili alizo Fanya Diamond!
Kabla sijatoa tathimini nzima naomba ifahamike hizi show zote mbili za Diamond zilikuwa na Mdhamini mkubwa ambaye ni VODACOM huyu amedhamini show zote mbili Dar na Iringa hadi kupelekea show Hiyo kuitwa VODACOM WASAFI BEACH FESTIVAL! Kama unajua kadhi ya mdhamini basi ujue hicho ndicho walicho Fanya Vodacom moja ya Kazi yao kubwa ni KUANDAA NA KUTEKELEZA MATAYATISHO YOTE YA SHOW ZOTE MBILI.....kuanzia stage na kuwalipa wote walio husika kwa namna moja au nyengine ikiwa ni pamoja na malipo ya wasanii wote walio toka nje ya Tanzania chini ya SALLAM,NA BABU Tale,Malipo ya matangazo yote ikiwa ni pamoja na kuwalipa Clouds Fm na Ebony Fm walio husika katika kutangaza hii show Dar na Iringa!,Kusafirisha na kulipia sehemu ambazo show itafika na wahusika kama vile kulipia Jangwani na Samora! .... Kwa kuwa Diamond ndie alie na Mkataba na Vodacom huenda pia vodacom ilihusika kuwalipa Harmonize,Rich Mavoko,Rayvanny na Queen Darling (JAPO KWA HILI SINA UHAKIKA SANAA ILA MSININUKUU VIBAYA)
Kifupi katika tathimini ninayo ileta Pesa Iliyo patikana ni itaingia moja kwa moja Katika Lebal ya WCB na Itafuata mkataba unavo sema kwa ma meneja!
Tukianzia na Dar Diamond aliingiza Mashabiki zaidi ya 3000 ikiwa sehemu waliyo iindaa ilikuwa na uwezo wa kuchukua watu 1500 hivyo waliingia Mara mbili ya Mategemeo Yao! Na kulikuwa na Tiketi za aina mbili kawaida na VIP.......Tukianza na Kawaida ambayo kiingilio kilikuwa 30,000 waliuza tiketi zaidi ya 2,800
Sasa chukua 2,800+×30,000= Millioni 84+
Kwa VIP waliuza Tiketi 200+ ambapo kila tiketi iliuzwa kwa shilingi 100,000
Sasa chukua 200+x100,000=Millioni 20+
Kwa Dar Jumla ni sh.Millioni 104+
Baada ya Hapo ni Alienda kufanya Show Iringa! Iringa alifanikiwa kuingiza watu 9,000+ kwa kiingilio cha sh 10,000
Sasa chukua 9,000+×10,000=Millioni 90+
Sasa chukua Millioni 104+ + Millioni 90+ =Millioni 194+
Hiyo hela ni kaingiza kwa Siku mbili Tuu!
Kifupi hiyo ndiyo tathimini ya haraka haraka sasa kaaa wewe na Nafsi yako jiulize Ni msanii gani mwingine Tanzania hii anaweza kufanya hivyo? Ifike muda anae Jua apewe heshima yake!
Wasanii wengine waangalie Mikataba ya kuingia..watu walimlaumu Diamond kwa kutokushiriki Fiesta kwa kuwa na Mkataba na Vodacom sasa nafikiri sasa mnaelewa maana ya mkataba alio ingia nao na manufaa anayo yapata! Imagine bila vodacom Diamond hizo millioni 104+ angezigawa vipi?
Sasa kupitia Vodacom wanataka kuzindua Wasafi Festival Ambayo watazunguka mikoa 10 Tanzania wakiaanza na Dar tarehe 14 Feb! Wakiwa na Vodacom means hiyo itakuwa ni zaidi ya Fiesta!
Hiyo Tathimini
DANYA nawasilisha!
Hili LA wateja wapya sidhani.Wewe unadhani Voda wanachukua hela Hapo? Kwa akili yako tuuu ndogo katika mkataba alio Ingia diamond nani wakulipwa? VODA wao ni kupata wateja wapya,kuwathamini wateja waliopo na kuuza bidhaa zao
We mkuu mbishi kinoma aiseeNdo alivyokwambia?