MFALME WETU JF-Expert Member Joined Feb 1, 2021 Posts 4,071 Reaction score 10,028 Dec 9, 2024 #41 Bantu Lady said: Mla, mla leo. Mla jana kala nini? Nasikia leo madunduka mmekatwa viwili kweli? Click to expand... Kuna sehemu zanzibar inaitwa Tobo la Pili naskia nyie ndo waasisi π
Bantu Lady said: Mla, mla leo. Mla jana kala nini? Nasikia leo madunduka mmekatwa viwili kweli? Click to expand... Kuna sehemu zanzibar inaitwa Tobo la Pili naskia nyie ndo waasisi π
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 5,983 Reaction score 6,171 Dec 10, 2024 #42 Yanga hatopata hata pointi 6 hatua ya makundi.
SAYVILLE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 7,895 Reaction score 12,975 Dec 10, 2024 #43 MFALME WETU said: Kuna sehemu zanzibar inaitwa Tobo la Pili naskia nyie ndo waasisi π Click to expand... Hao wanapigwa matobo kila siku, soon tutaanza kuwaita Chujio FC
MFALME WETU said: Kuna sehemu zanzibar inaitwa Tobo la Pili naskia nyie ndo waasisi π Click to expand... Hao wanapigwa matobo kila siku, soon tutaanza kuwaita Chujio FC
A Anonymous Caller JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 679 Reaction score 870 Dec 10, 2024 #44 1.Ahoua ni mchezaji wa kawaida sana. 2.Simba iliponzwa na uwoga wa bure. 3.Wachezaji waliopo Simba ya sasa wamefeli ku-retain utamaduni wa Simba inavyocheza away, sasa inafaa line up inayoanza iundwe na wachezaji wazamani angalau 7 kati 11.
1.Ahoua ni mchezaji wa kawaida sana. 2.Simba iliponzwa na uwoga wa bure. 3.Wachezaji waliopo Simba ya sasa wamefeli ku-retain utamaduni wa Simba inavyocheza away, sasa inafaa line up inayoanza iundwe na wachezaji wazamani angalau 7 kati 11.