Tathmini ya Mwaka mmoja: TANESCO ya Maharage Chande na January Makamba imefanikiwa kwenye jambo gani?

Huko china wezi wa mali ya umma wanauwawa hadharani,hapa kwenu mnawasujudia
Hilo ndilo tatizo letu, kuendesha mashirika ya umma yanahitaji uadilifu, uchapakazi na sheria kali zenye hukumu kali kwa viongozi na wafanyakazi washenzi.
 

Teh Teh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanangu Mexence Melo naomba ujirekebishe wewe na hao Great thinkers wenzio,nilishasema sitaki mumparure mwanangu January!😁
 
Hao Wachina waanze kwanza kutengeneza barabara zisizo toboka tobaka baada ya muda mfupi na zisizo na matuta ya viazi.
Mnataka quality gani [ High, Mid , Low] mna pesa za kutosha kulingana na aina za barabara mnazo hitaji au mnapenda kajanja kajanja tu.

Mnataka vitu kama hivi kutoka Beijing, Shanghai , Xiamen, Shenzhen, Guangzhou n.k
 

Leo siku nzima hakuna umeme hadi muda huu! Hakika chande amefanikiwa kuweka giza nchini !

Makamba na Chande wanaupiga mwingi sana
 
Mwanangu Mexence Melo naomba ujirekebishe wewe na hao Great thinkers wenzio,nilishasema sitaki mumparure mwanangu January![emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakika hatoparuliwa mwanao
 
Tunafanya tahmini tukiwa gizani.

Hakika Maharage na January wanaendelea kuutwanga mwingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan hamna kitu kabisaaa

Bi afsi nashangaa sanaa kuona jmpaka leo hao jamaa wapo ktk viti ivyo ...

Mtaan tunaona umeme unakata kata ovyo ovyo yaan ni ishara ya mgao ajabu Wakiulizwa wana sema hakuna mgao ..yaan hii ni ishara ya kutudharau .
 
Yaan hamna kitu kabisaaa

Bi afsi nashangaa sanaa kuona jmpaka leo hao jamaa wapo ktk viti ivyo ...

Mtaan tunaona umeme unakata kata ovyo ovyo yaan ni ishara ya mgao ajabu Wakiulizwa wana sema hakuna mgao ..yaan hii ni ishara ya kutudharau .
Vinyozi,washina nguo nk leo hawajafanya kazi
Hawajaingiza chochote

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…