Tathmini ya ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Tathmini ya ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Shabani Ajaha

Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
78
Reaction score
60
[emoji625] UVCCM - TAIFA
[emoji2783] 23 Mei, 2023. Dodoma.
[emoji288] EDNA NA WAANDISHI WA HABARI

Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Ndugu. Edna Lameck amefanya mazungumzo na Waandishi wa habari kwa lengo la kutoa tathimini ya Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM-Taifa Ndugu. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ambayo ilikuwa ni Ziara ya Ukaguzi wa mradi wa Vijana wa Jenga Kesho Iliyo Bora yaani (BBT), akizungumza katika Ofisi za Makao Makuu ya Jumuiya ya UVCCM Mkoani Dodoma tarehe 24 Mei, 2023.

#SisiNaMamaMleziWaWana
#AlipoMamaVijanaTupo
#ChamaImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#Kaziiendelee

Imetolewa na:
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.

IMG-20230524-WA0393.jpg
IMG-20230524-WA0340.jpg
 
Back
Top Bottom