Tatizo damu ya Mtu haifukiwagi na mchanga. Damu hufukiwa na damu juu yake

Sasa Kama Mimi mpare ningekutana na mkerewe kwenye treni tukapeana namba, tukaona tumependana, tukafunga ndoa, sijajua Kama bababyake mkubwa Ni chinja chinja, hiyo laana itawafuata wanangu ambao baba Yao sijawahi hata kufika Murutunguru?
 
Niliwahi kusikia ardhi huwa Ina record kuliko computer na smartphone yoyote.... Karma anapata habari kutoka ardhini....asikiaye na afahamu

;Bahati nzuri wanaomwaga damu Karibu wôte hujua Jambo hili hivyo hufanya Kwa ukaidi na kiburi wakiwa wameamua na kuwa tayari Kwa Matokeo
 
Sasa Kama Mimi mpare ningekutana na mkerewe kwenye treni tukapeana namba, tukaona tumependana, tukafunga ndoa, sijajua Kama bababyake mkubwa Ni chinja chinja, hiyo laana itawafuata wanangu ambao baba Yao sijawahi hata kufika Murutunguru?

😀😀

TATIZO la familia Zenye Laana NI pale àmbapo vinasaba vinakuwa vimeathiriwa na kurekodi kumbukumbu Mbaya ya uovu. So siô ajabu Moja ya Watoto au wajukuu zako akatokea MUUAJI
 
Sasa Kama Mimi mpare ningekutana na mkerewe kwenye treni tukapeana namba, tukaona tumependana, tukafunga ndoa, sijajua Kama bababyake mkubwa Ni chinja chinja, hiyo laana itawafuata wanangu ambao baba Yao sijawahi hata kufika Murutunguru?

😀😀

TATIZO la f seeamilia Zenye Laana NI pale àmbapo vinasaba vinakuwa vimeathiriwa na kurekodi kumbukumbu Mbaya ya uovu. So siô ajabu Moja ya Watoto au wajukuu zako akatokea
Mafwele akimwaga damu, anafukia kwa pedi zilozotumika kwenye mahabusu za Polisi
Duuuh
 
Mkuu badili ID!

Humuogopi

Faustine mafwele!!?!????

Huyo ndio habari ya Town Kwa sasa!
 
Uko sahihi
Na ndio maana kwa nchi kama Marekani mpaka leo damu zisizo na hatia huendelea kumwagika KISA babu zao waliua(mwaga damu) zisizo na hatia.....unakuta vitoto visivyo na hatia vimeuliwa vikiwa shule kumbe babu zao nao waliuwa vitoto visivyo na hatia.....ARDHI ni shahidi.
 

Ardhi ya Palestina ni Moja ya Ardhi Zenye Laana ya umwagaji damu. Huko kîla Siku ni Mauaji na hayataisha Leo Wala Kesho
 
Ingekuwa enzi za MAGU yule MANGI angekula kichwa cha MAFWELE trust me. 👍
 
Kwa hiyo askari wengi.wana kazi.ya ziada. Na yule mnyongaji.wa serikali.si.ndio tabu tupu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…