Habari wadau
Mimi ni jinsia ME na umri 27
Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kuchafuka na kichefu chefu kikali. Kila asubuhi mara nyingi tumbo linachafuka hapo naweza jiskia kwenda haja nikienda natoa kitu kama mapovu tu au naharisha hali inayoendelea mpaka ntakapotapika ndo linarudi katika hali ya kawaida.
Mwanzoni nilizani labda ni minyoo nimemeza albendazoe wapi nikatumia tiba asili ya kitunguu swaumu(according to Mzizimkavu) lakini wapi hali ya kichef chef na kuvurugika inapotokea hospital wakanishauri nitumie dawa flan yaitwa Nosic wapi no changes.
Nipo dilema hata cjui ni tatizo gani hebu nishaurini nikapime nn labda au nianzie wap hili tatizo.Naomba jopo la wataalam tafadhali mnisaidie
Mimi ni jinsia ME na umri 27
Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kuchafuka na kichefu chefu kikali. Kila asubuhi mara nyingi tumbo linachafuka hapo naweza jiskia kwenda haja nikienda natoa kitu kama mapovu tu au naharisha hali inayoendelea mpaka ntakapotapika ndo linarudi katika hali ya kawaida.
Mwanzoni nilizani labda ni minyoo nimemeza albendazoe wapi nikatumia tiba asili ya kitunguu swaumu(according to Mzizimkavu) lakini wapi hali ya kichef chef na kuvurugika inapotokea hospital wakanishauri nitumie dawa flan yaitwa Nosic wapi no changes.
Nipo dilema hata cjui ni tatizo gani hebu nishaurini nikapime nn labda au nianzie wap hili tatizo.Naomba jopo la wataalam tafadhali mnisaidie