Tatizo: HESLB account has been suspended

Kweli,,nadhani kuna kitu wanafanya,,,,alafu kuandikiwa did not secured,,,,means not yet fixed,,,,vuteni subira,,,mambo yakuwa sawa.
 
Kweli,,nadhani kuna kitu wanafanya,,,,alafu kuandikiwa did not secured,,,,means not yet fixed,,,,vuteni subira,,,mambo yakuwa sawa.

Ningefurah hakuna mfano Kama itakuwa hvyo..mungu weka mkono wako
 
Kweli,,nadhani kuna kitu wanafanya,,,,alafu kuandikiwa did not secured,,,,means not yet fixed,,,,vuteni subira,,,mambo yakuwa sawa.

daaah jaman ingekua hivo nngeshukuru..afu n kweli acc is suspended...
 
kwa wale mlio na net naona bodi wame-suspend account yao na sijiu kwa nini
 

Attachments

  • HESLB.jpg
    22.5 KB · Views: 210
navyohisi mimi naona walikurupuka tu kutoa majina ambayo hayakukamilika! wakirudi saivi hata wale ambao hawakupata mikopo huenda wakapata! system niliistukia tangu mwanzoni kuwa ina makosa!!!! tusubirieni wadau!!!
 
mmmh!! hali tete ata siamini kama nimepishana na gari la mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…