Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Wana JF!
Heri ya mwaka wa Twenty Eleven.
Hili jambo la ulevi haswa wa pombe na madawa ya kulevya n.k
Nimeona kuanzia dini mbali mbali hata serikali wanalipiga vita kwa nguvu zote.
Ajabu japo baadhi ya Nchi chache duniani wanaona ni jambo la kawaida tu.
Sasa pamoja na kuona madhara yake...kwa walevi wa pombe..hutokea ikawa sababu ya kuharibika ndoa yake au kusambaratika familia yake..kwa madeni mbali mbali...hata kufukuzea kazi n.k.
-Wavuta bangi kufanya mambo ya ajabu mitaani hata maofisini n.k
-Hivi hadi muhusika akaingia katika hivi vishawishi hua analazimishwa na jamaa zake? Au kuna nguvu ziada humzidi?
- Kuna kijana mmoja kwao wanao uwezo wa mali...ambazo angeweza kusima hadi Phd kwa pesa za kwao...ajabu ni kua ameingia kwenye utumiaji wa Unga...hata form four matokeo si mazuri..akapelekwa akasome japo (IT) na huko imeshindikana...sasa ni nini mambo haya?
HITIMISHO:
Tunawasaidiaje waathirika na wale
E wapo njiani kuingia humu katika utumiaji wa viharibu akili na mambo mengine?
Au kuna faida ambazo wanazipata kwenye hayo matumizi yz madawa ?
Nawasilisha nisaidiwe kujua.
Heri ya mwaka wa Twenty Eleven.
Hili jambo la ulevi haswa wa pombe na madawa ya kulevya n.k
Nimeona kuanzia dini mbali mbali hata serikali wanalipiga vita kwa nguvu zote.
Ajabu japo baadhi ya Nchi chache duniani wanaona ni jambo la kawaida tu.
Sasa pamoja na kuona madhara yake...kwa walevi wa pombe..hutokea ikawa sababu ya kuharibika ndoa yake au kusambaratika familia yake..kwa madeni mbali mbali...hata kufukuzea kazi n.k.
-Wavuta bangi kufanya mambo ya ajabu mitaani hata maofisini n.k
-Hivi hadi muhusika akaingia katika hivi vishawishi hua analazimishwa na jamaa zake? Au kuna nguvu ziada humzidi?
- Kuna kijana mmoja kwao wanao uwezo wa mali...ambazo angeweza kusima hadi Phd kwa pesa za kwao...ajabu ni kua ameingia kwenye utumiaji wa Unga...hata form four matokeo si mazuri..akapelekwa akasome japo (IT) na huko imeshindikana...sasa ni nini mambo haya?
HITIMISHO:
Tunawasaidiaje waathirika na wale
E wapo njiani kuingia humu katika utumiaji wa viharibu akili na mambo mengine?
Au kuna faida ambazo wanazipata kwenye hayo matumizi yz madawa ?
Nawasilisha nisaidiwe kujua.