mwantui
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,636
- 842
Habari wakuu.
Mimi nina tatizo la kukosa usingizi muda WA usiku kwa muda mrefu sasa mwanzoni nilikua nadhani labda ni kwa sababu ya kuzoea kusoma usiku lakini baada ya muda WA kama miezi mitano ivi baada ya kumaliza chuo nimekua nateseka sana usiku kwa kukosa usingizi kabisa nashindwa kuelewa ni fanye nini ili namimi nipate kulala usingizi jamani naombe mwenye kuweza kunisaidia nitafurahi sana....ahsanten sana great thinkers.
Mimi nina tatizo la kukosa usingizi muda WA usiku kwa muda mrefu sasa mwanzoni nilikua nadhani labda ni kwa sababu ya kuzoea kusoma usiku lakini baada ya muda WA kama miezi mitano ivi baada ya kumaliza chuo nimekua nateseka sana usiku kwa kukosa usingizi kabisa nashindwa kuelewa ni fanye nini ili namimi nipate kulala usingizi jamani naombe mwenye kuweza kunisaidia nitafurahi sana....ahsanten sana great thinkers.