ugonjwa huo wa kusahau kitaalmu unaitwa alzemia desease.....
anyway ngoja niende kwenye tiba moja kwa moja:
mwambie ale mapera kwa wingi ..mapera ni brain activator, lakini pia mwamie atumei mastafeli walu mja kwa siku....ila mapera asiache ni muhimu sana...ale matango..kwa siku nusu kipande....na kikubwa zaidi akipata tunda la mzeituni atumie...hili ni muhimu na yanaatikana suer market kwa bongo
atumie vitu hivi kwa mwezi mmoja then utanipm ..uipe mrejesho....kama ikiwa bado hajabadilika basi nambie ili twende hatua ya pili
asante
'alzemia?' umekosea matamshi, pia ugonjwa nina hakika sio huo unaoufikiria kulingana na umri wa mgonjwa kwa kawaida, na hyo symptom moja. Inahitajika detailed history ya huyo mgonjwa kusaidia kutengeneza diagnosis. Read on DEMENTIA na differentials zake, itakupa mwanga.