kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Salam wana jf doctor!
Tatizo la upungufu(uchache) wa mbegu za kiume(sperm) tatizo hili limenianza kama mwaka mmoja uliopita!
Nimejarb kuchunguza na kuomba ushauri nikashauriwa nile vyakula kama karanga,mihogo maziwa asali, kweli nilijitahid kwa miezi 3 bila kuona mabdiliko.
Tatzo limekua hadi nikiwa mzigoni bao la kwanza ni size ya kizbo cha soda,la pili pungufu zaid na la tatu huwa hazitoki kabisa,tena nahsi size ya uume inapungua!. Nilipata kuongea na dr.bingwa akaniambia nina infection kwenye via vya uzazi kwa hyo tiba yake ni Milion 3! Gharama zimenishnda naombeni ushauri wa tiba/au hosptali yenye gharama nafuu kdogo!
Tatizo la upungufu(uchache) wa mbegu za kiume(sperm) tatizo hili limenianza kama mwaka mmoja uliopita!
Nimejarb kuchunguza na kuomba ushauri nikashauriwa nile vyakula kama karanga,mihogo maziwa asali, kweli nilijitahid kwa miezi 3 bila kuona mabdiliko.
Tatzo limekua hadi nikiwa mzigoni bao la kwanza ni size ya kizbo cha soda,la pili pungufu zaid na la tatu huwa hazitoki kabisa,tena nahsi size ya uume inapungua!. Nilipata kuongea na dr.bingwa akaniambia nina infection kwenye via vya uzazi kwa hyo tiba yake ni Milion 3! Gharama zimenishnda naombeni ushauri wa tiba/au hosptali yenye gharama nafuu kdogo!