Ukimuuliza mara ya mwisho kumsifu mkewe ni lini ? au mara ya mwisho kutoka nae out ni lini ? au mara ya mwisho kumletea zawadi ni lini ? au hata mara ya mwisho kumkumbatia mkewe bila sababu yoyote ni lini ?
Unaweza kuambiwa hakumbuki ni lini,ndoa sio lele mama na haina fomula ni give and take.
She is so damn fantastic...........Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
Hapo kwenye bluu uko sahihi kabisa lakini hapo kwenye nyekundu nina wasiwasi una chuki binafsi na wanaume mama.you sound like control freak,na hii ndoa umeichoka unamtafutia reasons tu mwenzio za kujustfy kuchoka kwako....wanaume sijui mkoje mnataka kwenda kutafuta nyumba ndogo nendeni sio mnaanza kumtafuta mchawi kwa kutafuta vikosa vidogo vidogo na kuanza kuvikuza,mkeo hana tatizo wewe ndio una tatizo kama ukimfukuza haondoki,ondoka wewe,wewe si ndio umeichoka ndoa? kwa nini yeye aondoke?
Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
Mkuu nashukuru pia, ila tu nakusisitiza kum-compliment shemeji ndo mpango mzima. Najuwa inaudhi kuona makosa madogo madogo mliokwisha kuongea yanajirudia lakini chukulia kuwa ni ubinadamu watu hatuko sawa. Angalia mambo mazuri anayofanya shemeji na mpe credits na umsifiye. Atafurahi kaka nakwambia. Uonyeshe kuwa msaada kwake pale anaposhindwa kutimiza mliokubaliana na umsikilize. Furaha katika ndoa nayo inahitaji palizi mkuu, inatengenezewa mazingira ili iweze kuwepo na idumu bila kusahau kujitoa na uvumilivu.
She is so damn fantastic...........
Simu sipotezi muda nayo kwani anafanya kazi she can do any how wala sina muda wa ku dig down. Ila mkuu mfano mmepeana majukumu very serious then unasafiri kikazi na ukirudi unakuta hakuna kitu chochote kilichofanyika na inakubidi wewe uanze kufanya kana kwamba hukuacha mtu home.ukimuuliza anaruka kimanga na yeye anakuwa mkali kuliko wewe. akikueleza kitu cha uwongo anataka uamini bila kuuliza uliza maswali na ukikosea ukamwambia hii sii kweli basi ni machafuko. hii ni hostile behaviour kwangu sana
Kwa kweli endelea tu kumuelekeza na kumuongoza kwani kutokana na post zako huyo mwanamke ndivyo alivyo na hafanyi hivyo kwa makusudi. Inaweza kuchukuwa muda mrefu kubadilika kidogo kidogo na awe kama unavyotaka wewe.
Kama alivyoongea mdau mmoja inawezekana wewe ni perfectionist na tatizo unaloliona wewe mwenzako anaona ni sawa tu. Subiri watoto wakue wamsaidie mama yao katika hayo yanayokukwaza wewe (mfano usafi).
Simu sipotezi muda nayo kwani anafanya kazi she can do any how wala sina muda wa ku dig down. Ila mkuu mfano mmepeana majukumu very serious then unasafiri kikazi na ukirudi unakuta hakuna kitu chochote kilichofanyika na inakubidi wewe uanze kufanya kana kwamba hukuacha mtu home.ukimuuliza anaruka kimanga na yeye anakuwa mkali kuliko wewe. akikueleza kitu cha uwongo anataka uamini bila kuuliza uliza maswali na ukikosea ukamwambia hii sii kweli basi ni machafuko. hii ni hostile behaviour kwangu sana
Niamini mimi,wewe ni mkorofi.Period.Wenzako tunashinda msikitini tukiomba tupate mke kama mke hatujaliwi.TGNP mko very biased kwani siku zote mnawaona wanawake ni malaika na siku zote tunawaonea. Nitake radhi kuniambia niondoke kwenye nyumba yangu niliyojenga; kumbuka mimi niklikuwepo yeye ndo aliyekuja. Iweje nimwachie aliyekaribishwa nyumba; Nikithubutu tu kufanya hivyo itabidi ndugu zangu na marafiki wanipeleke Mirembe kupimwa kama bado zimetimia au nahitaji kuwekewa drip ya ufahamu
.
<br />
<br />
Yaani wewe ungekuwa mme wangu ningekuonyesha adabu,MIMI KWEnye nyumba sitoki haijalishi umejenga wewe.NAJUA MLANGo Wa kuingilia wa kutokea siujui
umeona eeeh.maelezo yake yanaonyesha jinsi alivyo self centred labda na mwanamke kamjulia huu udhaifu wake,ndio maana anamrudishia kwa style,haiwezekani ukae mahali hauko appreciated na lijitu selfish kama hili bila kuonyesha hasira yako kiaina,am sure mkewe anafanya makusudi