nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
mweeh! u need a secretary wa kutunza hiz ahadi for future reference. u must be very controlling and u blv u ar perfect. usishangae one time ukamfukuza akafurahia hadi ukasononeka! sijui kama nyumbani naweza kuwa na targets agreement contract kama kazini. una Personal Development Plan?
<br />
<br />
Huyu mke ata akipewa talaka nina imani atakaye replace nae atachemsha tu; naona masharti ya huyu bwana magumu.
kipato chake cha ofisi anakitumiaje?
naanza kuhisi kama wewe ni controling sana..
pengine una tatizo hujijui.....
angekuwa na tatizo kubwa asingekuwa anaomba kurudiana ukimfukuza
Mkuu huyu mama yuko very free na income yake.Kwa ufupi mimi mshahara wangu unatumika kwa kuendesha familia ila yeye akaona siyo vema akae tu aangalie. Positive side yake ni very good katika kutumia mapato yake kwa manufaa ya familia kwani yuko transparent ingawaje ana keep akaunti yake mwenyewe na mimi yangu. sometime akitingwa hunipa ATM yake nimchukulie hela nimletee na huwa nafanya hivyo kwa uaminifu na moyo mweupe.
Nimesoma baadhoi ya michango ya watu humu ndani. Mengi yanaweza kusemwa lakini ukweli ni kwamba mke wako ndie mtu unayetegemea kuishi naye for the rest of your life. Sasa kama huwezi kupata comfort kwake what's the use? Haya mambo ya kusema mvumilie nayo yana mwisho wake, binadamu ana uwezo wa kuvumilia mambo fulani for sometime and not forever. Anayofanya mkeo hasa kwa level yake ya elimu ni makusudi tu, kwa elimu yake hawezi kuwa mjinga kiasi hicho, nachukulia kwamba uiliyosema yote ni kweli na sio kuvutia upande wako. Kama vipi mpuuze kwa kadri uwezavyo, sikushauri kumwacha, lakini ni lini utaishi maisha yako? Unategemea atabadilika?
kwanza ana bahati....
mwanamke ana masters na unamfukuza anakwenda kwa mama mkwe kuomba mrudiane????
aulize wenzie waliooa wenye diploma tu za kuunga unga inakuwaje?lol
take it from me...
mkeo angekuwa wangu,ningeringa sana...
na ukimuacha utajuta mno...na watu watamuoa so fast,utashangaa
Mkuu huyu mama yuko very free na income yake.Kwa ufupi mimi mshahara wangu unatumika kwa kuendesha familia ila yeye akaona siyo vema akae tu aangalie. Positive side yake ni very good katika kutumia mapato yake kwa manufaa ya familia kwani yuko transparent ingawaje ana keep akaunti yake mwenyewe na mimi yangu. sometime akitingwa hunipa ATM yake nimchukulie hela nimletee na huwa nafanya hivyo kwa uaminifu na moyo mweupe.
<br />Katika kipindi cha miaka 12 ktk ndoa yangu nimegundua tatizo kubwa sana la mke wangu ambalo kwa ufupi ni chanzo kikubwa cha migogoro ktk ndoa yetu. Nimegundua kuwa wife wangu ni vigumu ku keep maagano au makubaliano consistently bila kuvunja. Kwa mfano mnakuta mmekubaliana kwamba tabia au mambo fulani ndani ya ndoa hupendi au yanaleta kero na ugomvi hivyo mke wangu anakubali kabisa kwamba nitaacha sitarudia tena kwani najua nakuudhi" Vivyo hivyo na mimi mume nakubaliana na wife kwamba zile tabia zangu ambazo ni kero kwake nitaacha for good. Huwa nakuwa mwaminifu na nimeacha silika zinazomfanya mke wangu achukie na kukosa amani for her sake.<br />
<br />
Mimi nilidhamiria na nimefanikiwa kuacha kabisa vitabia ambavyo ni kero na chanzo cha migogoro na wife kwani sipendi niwe chanzo cha kumfanya wife uncomfortable.<br />
<br />
Cha ajabu ni kwamba yeye wife amekuwa na vicious cycle ya kuvunja maagano na maazimio kwa kurudia rudia mambo ambayo ni kero kwangu. Pamoja na kwamba sote ni wasomi kwa level ya Masters inanipa shida kumwelewa ni kwa bahati mbaya au ni kwa makusudi anafanya anapoamua kurudia rudia tabia zinazo nikera. Ukimwuliza kwa nini umevunja makubaliano huwa mbishi na no apology na kuna uwezekano wa escalation ya ugomvi. Hii inanipa shida sana kwani huwa nataka tukikubaliana basi I keep promise kama ninavyomfanyia lakini never.<br />
Uwezo wake wa ku maintain ahadi hauzidi miezi miwili hata kama last time ugomvi ulikuwa mkubwa kiasi gani.<br />
<br />
Kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu wife kazini kwake kote alikiofanya kazi anasifiwa kwa kufanya vizuri iwe yuko na bosi mwanamke au mwanaume. Najiuliza kichwa hichohicho kinashindwaje kufanya hivyo hivyo nyumbani kisifiwe na husband?<br />
Huyu wife ni mwepesi wa kukiri kosa na kuomba msamaha ila ndo hivyo anarudia tena.<br />
Naomba kuwauliza mlioko kwenye ndoa je tatizo hili ni la wanawake wote au ni mke wangu tu analo? Na je solution yake nini kwani nimetumia uwezo wangu wote kumwelewesha anavyosababisha ugomvi kwenye marriage bado anaonekana kusahau wiki chache baada ya ugomvi? .
kwanza ana bahati....
mwanamke ana masters na unamfukuza anakwenda kwa mama mkwe kuomba mrudiane????
aulize wenzie waliooa wenye diploma tu za kuunga unga inakuwaje?lol
Uko right pia unaweza ukawa na assumption ambayo si kweli kwani huwa namfukuza kabisa na ni heri umkate panga kuliko aondoke . Kama anajua yuko so marketable si angekimbia tu anangangania nini wakati hatuwezi kuelewana tena sometime vitu vidogo ambavyo havihitaji mtu kuwa hata na elimu ya form four ili kuvielewa?
<br />Huwa siyo hivyo tu wakati akisha chemsha na ugomvi kutokea mkubwa ukianza kumwambia sikutaki tena yeye kuliko aondoke kuna wakati unamkuta sebuleni anaendelea kupasi nguo zako na baada ya hapo anakutengenezea chai ingawaje inakuwaga vigumu kunywa kutokana na hasira.
Una bahati sana hayo mapungufu alonayo yanamezwa na mazuri yake. Kuna watu wana wake mizigo lakini wanavumilia knowing divorce ina cost. Kwa kupata mke asiye msiri na mchoyo na pato lake ni bahati sana kaka.
ningumu aisee
kwani ukidharau itakuwaje?
ni vitu gani hasa?
kuna vitu vidogo kama ukipiga simu,simu yake iko kwenye begi,utajipa presha sana
most womens wako hivyo..au kusahau kitu ulichomsisitiza n,k
Uko right pia unaweza ukawa na assumption ambayo si kweli kwani huwa namfukuza kabisa na ni heri umkate panga kuliko aondoke . Kama anajua yuko so marketable si angekimbia tu anangangania nini wakati hatuwezi kuelewana tena sometime vitu vidogo ambavyo havihitaji mtu kuwa hata na elimu ya form four ili kuvielewa?
Nasema ukweli hana uchoyo wa aina yoyote kwenye hela yake na sometime nikimaliza fedha mapema kabla ya mwisho wa mwezi kama kawaida ya wanaume wengi basi analichukua hilo jukumu bila malalamiko wala ubishi.
Pamoja na haya mazuri bado amani ni muhimu kwani fedha si suluhisho la kila kitu kwani si kila kitu fedha inaweza kununua. kama moyo wangu ungekuwa kwenye fedha zake basi ningeona nina ndoa nzuri sana ila sometime kero zina supersede umuhimu wa hizo fedha.
Kuvumiliana ni kweli kuna mwisho. Hivi niendelee kuvumilia tu au what should I do. Na kama nitampuuza ndo itakuwa ndoa ya namna gani?