Tatizo Katika Web Ya TCU

mbontafo

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
87
Reaction score
40
Ndugu Zangu Napata Wakati Mgumu Kujua Chuo Nilichopangwa,nipo Interior Sna Naomb Yeyote Alofanikiwa Kufungua List Aniangalizie
Badru M Alfan
Index No. S.0939.0018.2003
 
Institute Of Adult And Continuing Education[IAE] Na UDOM Washatoa?
 
0768 260834 mpigie huyo dogo atakusaidia.
Ndugu Zangu Napata Wakati Mgumu Kujua Chuo Nilichopangwa,nipo Interior Sna Naomb Yeyote Alofanikiwa Kufungua List Aniangalizie
Badru M Alfan
Index No. S.0939.0018.2003
 
Ni kweli, ila kwa mujibu wa tamko rasmi la taasisi husika (NACTE & TCU) WAMESEMA UKIACHA watu wa diploma na cetificates, waombaji wa undergraduate wanatangazwa na vyuo kwa utaratibu ambao si rasmi kwa sababu ambazo wamesha sisema tangu jana.

Ndo maana utakuta majina unayokuta kwenye web za vyuo ni batch moja moja, mbili n.k.......hivyo kutuongezea presha wale ambao hatujikuti huko, RASMI kabisa yatatolewa na TCU wenyewe kwa awamu mbili.

NB: Awamu ya pili itawahusisha wale 12,867 tu, na chezo linaisha!!!!!!!!!!
Jamani tutulie, tusipoangalia hawa jamaa wata tuua kwa presha!!!!! LOL
 

inamaana majina yanayotolewa na vyuo ni first round selection tu? second round hadi tcu?
 
Duuu hii system ya kutembelea website za vyuo ulivoomba ni ndefu cz mwanzoni wengine hatukuona chuo tulichokuwa selected sasa upitie vyuo vyote vitano ulivoomba au inakuwaje nijuzeni wajameni.
 
Si utulie usubiri majibu rasmi yatawekwa kenye profile yako wala huna haja ya kuumiza kichwa
 
hata mimi nimemuelewa hvyo.

Hapana wakuu, yaani, chanzo cha kuwepo 1st na 2nd selection ni wale 12,867 waliokosa kuwa selected na system 7bu ya "kompetition kubwa katka kozi na vyuo walivyoomba V/S Ufaulu wao mtu m1 m1", sasa kwa kuwa wameambiwa wabadilishe au wavumilie kama vyuo vitaongeza slots, kwa wale ambao wameshabadilisha na system imewa-select huenda tayari majina yao yamejumuishwa katka haya tuyaonayo versity mbalimbali.

Miongoni mwa hili kundi la 12,867 watakao kuwa bado hawajawa processed mpaka TCU wanamaliza hili tatizo la multiple admission na kutoa majina yote kwenye mtandao wo, hao ndio exactly SECOND SELECTION.

Hii ni kwa mujibu wa jamaa wa NACTE niliemuuliza FACEBOOK.

EEEEEEEEEEEEEEFFFFUUUUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…