Tatizo kubwa sio anakozipata, bali anakozipeleka Bil 240 RA

Tatizo kubwa sio anakozipata, bali anakozipeleka Bil 240 RA

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Alishawahi kusema mwenyewe na jana Dr Slaa kakumbushia kuwa RA ana kipato cha zaidi ya Tsh Billion 240 kwa mwaka!Hii ina maana kuwa RA anaingiza faida ya zaidi wa Tsh million 657 kwa siku!

Naomba kuuliza hizi fedha anazipeleka wapi? RA na mabilionea wengine hata Tanzania, fedha zao wanapeleka wapi? Sijawahi kusikia RA kafadhili kitu chochote kikubwa katika jamii ya Watanzania. Ukiacha vimichango vidogo kama million 3 alizowahi kumpa Mtikila, na kwingineko, RA anapeleka wapi fedha zake? RA ana charity fund/foundation yoyote Tanzania?. Tunasikia mabilionea wa nchi nyingine wanachangia kujenga mahospitali, wanatoa mahela mengi kwenye taasisi za utafiti n.k. (eg Bill and Melinda Gates foundation). Mabilionea wa Kitanzania kama RA, hela zao zinaenda wapi?

Tukisema kuwa zinafadhili ugaidi duniani, au zinafadhili vita sehemu fulani, au zinaendesha serikali kandamizi sehemu fulani, au ziantumika hapa hapa kufadhili makundi, njama na mipango hatarishi kwa maslahi ya watu fulani, tutakuwa tunakosea? Hivi si kuna FBI na sheria ya ugaidi ilishapitishwa Tz? Kama vyombo vyetu vya usalama haviwezi kufuatilia mambo kama haya, kwa nini hivi vya kimataifa visiingilie na kuhakikisha fedha hizi hazihatarishi usalama wa dunia?
 
Alishawahi kusema mwenyewe na jana Dr Slaa kakumbushia kuwa RA ana kipato cha zaidi ya Tsh Billion 240 kwa mwaka!Hii ina maana kuwa RA anaingiza faida ya zaidi wa Tsh million 657 kwa siku!

Naomba kuuliza hizi fedha anazipeleka wapi? RA na mabilionea wengine hata Tanzania, fedha zao wanapeleka wapi? Sijawahi kusikia RA kafadhili kitu chochote kikubwa katika jamii ya Watanzania. Ukiacha vimichango vidogo kama million 3 alizowahi kumpa Mtikila, na kwingineko, RA anapeleka wapi fedha zake? RA ana charity fund/foundation yoyote Tanzania?. Tunasikia mabilionea wa nchi nyingine wanachangia kujenga mahospitali, wanatoa mahela mengi kwenye taasisi za utafiti n.k. (eg Bill and Melinda Gates foundation). Mabilionea wa Kitanzania kama RA, hela zao zinaenda wapi?

Tukisema kuwa zinafadhili ugaidi duniani, au zinafadhili vita sehemu fulani, au zinaendesha serikali kandamizi sehemu fulani, au ziantumika hapa hapa kufadhili makundi, njama na mipango hatarishi kwa maslahi ya watu fulani, tutakuwa tunakosea? Hivi si kuna FBI na sheria ya ugaidi ilishapitishwa Tz? Kama vyombo vyetu vya usalama haviwezi kufuatilia mambo kama haya, kwa nini hivi vya kimataifa visiingilie na kuhakikisha fedha hizi hazihatarishi usalama wa dunia?

Tuanze na heading yako mkuu, anakozipata ni TATIZO KUBWA anakozipeleka ni TATIZO KUBWA ZAIDI!

Pesa zinazopatikana kifisadi zitatumika kulinda maslahi na usalama wa fisadi, kama asipotumia pesa hizo kujilinda sasa hivi angekua segerea. Huwezi kumuongelea Bill gates na Rostam katika sentensi moja, RA ni fisadi mkubwa, Bill Gates ni mfanyabiashara mkubwa hatutegemei watumie pesa yao kwa namna zinazoshahabiana
 
Alishawahi kusema mwenyewe na jana Dr Slaa kakumbushia kuwa RA ana kipato cha zaidi ya Tsh Billion 240 kwa mwaka!Hii ina maana kuwa RA anaingiza faida ya zaidi wa Tsh million 657 kwa siku!

Naomba kuuliza hizi fedha anazipeleka wapi? RA na mabilionea wengine hata Tanzania, fedha zao wanapeleka wapi? Sijawahi kusikia RA kafadhili kitu chochote kikubwa katika jamii ya Watanzania. Ukiacha vimichango vidogo kama million 3 alizowahi kumpa Mtikila, na kwingineko, RA anapeleka wapi fedha zake? RA ana charity fund/foundation yoyote Tanzania?. Tunasikia mabilionea wa nchi nyingine wanachangia kujenga mahospitali, wanatoa mahela mengi kwenye taasisi za utafiti n.k. (eg Bill and Melinda Gates foundation). Mabilionea wa Kitanzania kama RA, hela zao zinaenda wapi?

Tukisema kuwa zinafadhili ugaidi duniani, au zinafadhili vita sehemu fulani, au zinaendesha serikali kandamizi sehemu fulani, au ziantumika hapa hapa kufadhili makundi, njama na mipango hatarishi kwa maslahi ya watu fulani, tutakuwa tunakosea? Hivi si kuna FBI na sheria ya ugaidi ilishapitishwa Tz? Kama vyombo vyetu vya usalama haviwezi kufuatilia mambo kama haya, kwa nini hivi vya kimataifa visiingilie na kuhakikisha fedha hizi hazihatarishi usalama wa dunia?
Na pamoja na kuwa RA amekuwa tajiri kwa muda mrefu lakini hasa ameanza kuvuna mapesa kuanzia mukulu alipokamata dola ,ndipo jamaa kajitanua kwelikweli biashara zake zimesambaa hadi nje ya nchi
 
!

Pesa zinazopatikana kifisadi zitatumika kulinda maslahi na usalama wa fisadi,

Ni kweli Mkuu. Nadhani unajua kuwa kwa taratibu za kibenki siku hizi (sina uhakika kama ni sheria), zikiingizwa fedha nyingi (sijui kuanzia tsh ngapi, but najua hata tsh 50,000,000) kwenye akaunti yako kutoka nje, huruhusiwi kuzichukua hadi ueleze zimetoka kwa nani na za nini.

Sidhani kama fedha zote za RA zinatumika kumlinda kwa ufisadi wake. Bil 240 ni nyingi, lazima kuna sehemu nyingine zinaenda. Hata hivyo sawa, kama zinatumika kumlinda, huoni kama hapo ndipo starting point ya kuangalia ufisadi wake anafanya na analindwa na akina nani?
 
Ni kweli Mkuu. Nadhani unajua kuwa kwa taratibu za kibenki siku hizi (sina uhakika kama ni sheria), zikiingizwa fedha nyingi (sijui kuanzia tsh ngapi, but najua hata tsh 50,000,000) kwenye akaunti yako kutoka nje, huruhusiwi kuzichukua hadi ueleze zimetoka kwa nani na za nini.

Sidhani kama fedha zote za RA zinatumika kumlinda kwa ufisadi wake. Bil 240 ni nyingi, lazima kuna sehemu nyingine zinaenda. Hata hivyo sawa, kama zinatumika kumlinda, huoni kama hapo ndipo starting point ya kuangalia ufisadi wake anafanya na analindwa na akina nani?

Kulinda ufisadi ni gharama kubwa, kumbuka ni kitu kinaendelea na unatakiwa uwe na vyanzo vya mapato, kwa hiyo wakati nyingine zinatumika kumlinda nyingine lazima zitumike kuendeleza biashara zake.

Ili awe salama lazima anunue vyombo vya habari, vile anavyomiliki moja kwa moja na vile asivyomiliki, lazima awe na watu wa kumpa taarifa na kufanya umafia (rejea ile story ya mwanahalisi kwamba walitaka kum-eliminate mwakyembe, slaa na wengine) ku arrange umafia kama ule ni gharama kubwa, kumbuka hii si one time issue, ni kitu kinaendelea, kwenye maisha yake yote kuna watu wanafanya kazi ya kusaka wabaya wake na kuwaondosha, this is no something cheap! RA anaendesha nchi kwa remote, anaweka anaowataka na kuondoa asiowapenda, rejea zile bilioni nane za kumsafisha EL, na hizi ni zile zinavuja kwetu bado kuna mambo mengi ambayo si hatuyajui, yote haya yanahitaji pesa nyingi

Lazima pia atakua na pesa nyingi benki ndani na nje.
 
Back
Top Bottom