Habari ya leo JF
ninatatizo la kitovu kutoa maji kwa muda mrefu sasa miaka 25
nimekwenda hospital bila mafanikio
nimemwona mtaalamu wa ngozi KCMC kipindi cha nyuma lakini
kwa sasa nimekata tamaa
Sio kwamba kinatoa maji muda wote bali pale ninapotumia dawa na kufanyiwa dressing
kinapona
naweza kukaa muda hata wa miaka miwili bila kutoa maji halafu kinaanza kutoa maji
mara ya mwisho hospital niliyokwenda Dr. aliniambia inawezekana kilikatwa vibaya ndio
inasababisha wakati mwingine kuwa hivyo
naomba kwa anayejua namna ya kusaidia tatizo hili kuondoka kabisa anisaidie
Asante