Tatizo kwenye kulog in 'Olas heslb'

Joined
Apr 3, 2013
Posts
53
Reaction score
0
Password ya HESLB nimeisahau! Sasa kuna sehemu ya ku-reset password; ambapo wameandika kwamba kuna njia 3, sasa ile njia ya kwanza imenishinda! Tatizo langu ni kwamba nashindwa kutumia njia ya pili iliyo rahisi ambayo ni ' reserting pasword by email' nashindwa kuingia namba 2! Kwenye system menu inakuja kuresert pswd kwa kutumia njia ya kwanza! Nifanyeje ili kwenye menu ije ile no. 2? Au ndugu zangu mnashaurije? Af natumia phone not a computer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…