Jyhamah Juma Senior Member Joined Mar 2, 2014 Posts 162 Reaction score 77 Feb 1, 2016 #1 naomba kusaidiwa ukiwa na tatizo kwenye mfumo wa chakula unakuwa na dalili zipi,madhara yake ni yapi na ni vipi mtu atajitibu ama kutibiwa?
naomba kusaidiwa ukiwa na tatizo kwenye mfumo wa chakula unakuwa na dalili zipi,madhara yake ni yapi na ni vipi mtu atajitibu ama kutibiwa?
Nje ya Mada JF-Expert Member Joined Sep 30, 2015 Posts 1,399 Reaction score 490 Feb 1, 2016 #2 Wewe Ni mwanafunzi Wa udaktari au mgonjwa!? Swali lako Ni pana.. Na limekaa "KINOKOO"