mimi nakukulaumu wewe,,, umeeeleeeza ubaya weeeee wa mumeo, as if weye ni malaika, haya nimekusikia na watu wamekushauri kama ulivyowasilisha, wamekuamini na kukuonea huruuma, wamemhukumu mumeo, wamekufariji!
unafiki,,, mabint wengi ni mateso, hawana maadili na wanakompit na waume zao, ni wenye hila hasa wakishakuwa na kinga ya watoto, unafanywa mtumwa, amri na kiburi, over communication, kujali wa kwao, inafikia staji hata mkitofautiana ndugu wanafurahi,,,
Huwa mshakuwa juu wajibu wa mke huelewi makuzi na tabia msingi za akuoaye, hamfundishiki ukisasa mwiingi,,,
ama weye mbovu,,, nasepa,,,
my take,,,
chukua kioo ujiangalie,,, uone unaona nini, chunguza njia na mapito yako uone ulipojikwaa ukamkifu mumeo, jihoji bila kujihesabia haki,,, kuna mahali wewe ni chanzo, itafute kweli itakuweka huru,,, malezi yako yakoje? Umeshika yapi na yapi umeacha juu ya suala la ndoa?
Wengi tunaolea utamaduni tu na mazoea, lakini faraja ipo kwa hawara, malengo ya hawara ni dhahiri ila malengo ha mke asiye na heshma akutesaye ni tata, uzeeni je? Heri mapemaaa nisife na bp,,, tunaisaka faraja na security unapoona ni tata kwa mke au kuna mambo ulimficha ameyagundua mshakua pamoja,,,
mambo ni mengi, umemkamata mama yake kwa kipato chako unamtumia kanma silaha kumpelekesha mumeo!
My dear,,,,tulia jitafakari muombe mungu,,,tubu dhambi zako na makosa yako kwa mungu na kwa mumeo,,upate hekima muite mahali pa sirinmuongee,,umueleze ulipokosea,,,kisha muombe asiendelee kukuumiza kwani ushatubu na ujirekebishe,, kweli wapeden wtt wenu, pole,