Tatizo la acid reflux na tezi kuvimba

Tatizo la acid reflux na tezi kuvimba

MESSI

Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
38
Reaction score
2
Naomba kuuliza kama kuna uhusiano wowote kati ya acid reflux na matezi kuvimba chini ya mataya (submandibular lymph nodes)?

Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la acid reflux kwa kipindi cha miezi 5 na nimekuwa nikitumia dawa(antiacids &antihistamines) na shida imepungua..

Ila kipindi chote hicho matezi yamevimba kidogo(1cm),hayaumi,yako firm na sina homa.
Naomba msaada wa kitaalamu kwenu wadau.
 
Mzizi
Ndio kuna Uhusiano mkubwa wa Matezi kuvimba shingoni na Kupwa kwa asidi (Acid reflux) kwani chanzo cha hayo maradhi ya kuvimba kwa matezi ya shingo kunasababishwa na hayo maradhi ya (Acid reflux).

Hoarseness. If acid reflux gets past the upper esophageal sphincter, it can enter the throat (pharynx) and even the voice box (larynx), causing hoarseness or sore throat. ...GERD is a common cause of unexplained coughing. It is not clear how cough is caused or aggravated byGERD. source.The Symptoms of GERD

Je umesha wahi kwenda kumuona Daktari? Ukiwa bado hauja pona nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu


View attachment 700942
Mzizi mkavu nakutafuta sana sana
 
Back
Top Bottom