MESSI
Member
- Apr 3, 2011
- 38
- 2
Naomba kuuliza kama kuna uhusiano wowote kati ya acid reflux na matezi kuvimba chini ya mataya (submandibular lymph nodes)?
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la acid reflux kwa kipindi cha miezi 5 na nimekuwa nikitumia dawa(antiacids &antihistamines) na shida imepungua..
Ila kipindi chote hicho matezi yamevimba kidogo(1cm),hayaumi,yako firm na sina homa.
Naomba msaada wa kitaalamu kwenu wadau.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la acid reflux kwa kipindi cha miezi 5 na nimekuwa nikitumia dawa(antiacids &antihistamines) na shida imepungua..
Ila kipindi chote hicho matezi yamevimba kidogo(1cm),hayaumi,yako firm na sina homa.
Naomba msaada wa kitaalamu kwenu wadau.