SoC02 Tatizo la Ajira: Viwanda aina ya A to Z Arusha vinahitajika sana nchi hii na Vipewe Upendeleo

SoC02 Tatizo la Ajira: Viwanda aina ya A to Z Arusha vinahitajika sana nchi hii na Vipewe Upendeleo

Stories of Change - 2022 Competition

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Tatizo la ajira nchi hii linahitaji sana Viwanda ambavyo ni Labour Intensive na sio Machine Intensive.

A to Z Arusha ni moja ya viwanda vikubwa sana vya Labour Intensive, linapo kuja swala la kuajiri, Watanzania wengi tunaichukulia poa kile kiwanda lakini Kile kiwanda linapo kuja swala la ajira hakina mpinzani nchi hii.

A to Za kikiwa ni kiwanda kinacho zalisha bidhaaa mbalimbali kuanzia Neti za mbu, Nguo, Vifaa ya Kilimo, vyomvo vya plastic na kadhalika kimeajiri Vijana wengi sana kuliko kiwanda au taasisi nyingine private.

A to Z ina zaidi ya Wafanyakazi 10, 000 hii ni idadi kubwa sana na hakuna hata kuwanda chenye nusu ya hao nchi hii.Sina uhakika hata vile ya Bia kama vina nusu ya hao.

Kama tungekuwa na Viwanda ya aina ya A to Z 500 ingekuwaje?

Chukulia Viwanda 500 x 10, 000 ni wafanyakazi Million 5 hii ni idadi kubwa sana na ingecutt sana tatizo la ajira nchi hii.

Serikali inapaswa kuwa na vigezo vya aina ya viwanda vinavyo hitajika, Viwanda ambavyo ni Labour Intensive vipewe kipaumbele cha kipekee ikiwa ni pamoja na misamaha ya Kodi.

Tuna vuwanda vingi unakuta ni full mashine na ubakuta kiwanda kina wafanya kazi 10, kiwanda kinawafantakazi 50 na hao ni wawekezaji wametoka nje kuja kuwekeza kwenye kiwanda chenye wafanyakazi 50.

Tuna ututili wa Viwanda na tunapewa takwimu kila mara kwamba viwanda 2000 maea viwanda 3000 lakini njoo kwenye uhalisia wa nguvu kazi pale, unakuta impact na hakuna kabisa.

Tunaweza punguza sana tatizo la ajira tukiwa na Viwanda aina ya A to Z hivi ndo viwanda vinavyo weza kusaidia kweli tatizo la ajira Tanzania na sio viwanda ya kuwa na staffu 6.

Tanzania Investment Centre na Mamalaka zingine nazani zi promote sana viwanda ambavyo ni Lavour Intensive , na hawa wapewe kila aina ya Upendeleo unao hitajika.

Hata kama vitakuwa na malipo Duni still inasaidia sana kwa sababu hata Staff asilimia 90 yao ni Unskilled labour ambao ndo wanao fanya kazi kwenye uzalishaji. Hawa ni vijana walio maliza kidato cha nne na Sita.

Mama anapo kuwa anafungua mipaka ni bora oia akawa anaainisha aina ya viwanda vinavyo hitajika hasa kwenye swala la ajiea make kama kiwanda kitakuja na Roboti za kufanya kazi haitakuwa na impact kwa jamii. Leo hii impact ya A to Z iko wazi kabisa.

Nakaribisha maoni, maswali.
 
Upvote 15
Tatizo la ajira nchi hii linahitaji sana Viwanda ambavyo ni Labour Intensive na sio Machine Intensive.

A to Z Arusha ni moja ya viwanda vikubwa sana vya Labour Intensive, linapo kuja swala la kuajiri, Watanzania wengi tunaichukulia poa kile kiwanda lakini Kile kiwanda linapo kuja swala la ajira hakina mpinzani nchi hii.

A to Za kikiwa ni kiwanda kinacho zalisha bidhaaa mbalimbali kuanzia Neti za mbu, Nguo, Vifaa ya Kilimo, vyomvo vya plastic na kadhalika kimeajiri Vijana wengi sana kuliko kiwanda au taasisi nyingine private.

A to Z ina zaidi ya Wafanyakazi 10, 000 hii ni idadi kubwa sana na hakuna hata kuwanda chenye nusu ya hao nchi hii.Sina uhakika hata vile ya Bia kama vina nusu ya hao.

Kama tungekuwa na Viwanda ya aina ya A to Z 500 ingekuwaje?

Chukulia Viwanda 500 x 10, 000 ni wafanyakazi Million 5 hii ni idadi kubwa sana na ingecutt sana tatizo la ajira nchi hii.

Serikali inapaswa kuwa na vigezo vya aina ya viwanda vinavyo hitajika, Viwanda ambavyo ni Labour Intensive vipewe kipaumbele cha kipekee ikiwa ni pamoja na misamaha ya Kodi.

Tuna vuwanda vingi unakuta ni full mashine na ubakuta kiwanda kina wafanya kazi 10, kiwanda kinawafantakazi 50 na hao ni wawekezaji wametoka nje kuja kuwekeza kwenye kiwanda chenye wafanyakazi 50.

Tuna ututili wa Viwanda na tunapewa takwimu kila mara kwamba viwanda 2000 maea viwanda 3000 lakini njoo kwenye uhalisia wa nguvu kazi pale, unakuta impact na hakuna kabisa.

Tunaweza punguza sana tatizo la ajira tukiwa na Viwanda aina ya A to Z hivi ndo viwanda vinavyo weza kusaidia kweli tatizo la ajira Tanzania na sio viwanda ya kuwa na staffu 6.

Tanzania Investment Centre na Mamalaka zingine nazani zi promote sana viwanda ambavyo ni Lavour Intensive , na hawa wapewe kila aina ya Upendeleo unao hitajika.

Hata kama vitakuwa na malipo Duni still inasaidia sana kwa sababu hata Staff asilimia 90 yao ni Unskilled labour ambao ndo wanao fanya kazi kwenye uzalishaji. Hawa ni vijana walio maliza kidato cha nne na Sita.

Mama anapo kuwa anafungua mipaka ni bora oia akawa anaainisha aina ya viwanda vinavyo hitajika hasa kwenye swala la ajiea make kama kiwanda kitakuja na Roboti za kufanya kazi haitakuwa na impact kwa jamii. Leo hii impact ya A to Z iko wazi kabisa.

Nakaribisha maoni, maswali.
Samahani mkuu swali langu kidogo linaweza kuonekana lipo nje ya mada samahani kwa hilo . Nilikuwa nakuuliza mkuu wewe ni mkazi wa Kisongo Arusha?🤔
 
Wafanyakazi 10 000, are you crazy? Hivi hizi namba huwa mnazielewa lkn au mnazitaja tu? Unaelewa watu 10 000 ni watu kiasi gani? Wanafanya nini kwenye hicho kiwanda? Kuna kazi gani za kufanywa na watu 10 000? I mean, watu 10 000 ni idadi ya mji mzima!
 
Wafanyakazi 10 000, are you crazy? Hivi hizi namba huwa mnazielewa lkn au mnazitaja tu? Unaelewa watu 10 000 ni watu kiasi gani? Wanafanya nini kwenye hicho kiwanda? Kuna kazi gani za kufanywa na watu 10 000? I mean, watu 10 000 ni idadi ya mji mzima!
A to Z unaijua mkuu au unaisikia? Kazi za pale asilimia 99 ni manual, wewe unashangaa hio idadi? Uliza huko kama ndugu arakuambia.Na wana ingia kwa shift si kwamba wote 10, 000 wanaingia kwa wakati mmoja hapana, kuna Shift.
 
Wafanyakazi 10 000, are you crazy? Hivi hizi namba huwa mnazielewa lkn au mnazitaja tu? Unaelewa watu 10 000 ni watu kiasi gani? Wanafanya nini kwenye hicho kiwanda? Kuna kazi gani za kufanywa na watu 10 000? I mean, watu 10 000 ni idadi ya mji mzima!
10, 000 haiwezi kuwa mji mzima, siku unanafasi kama ukiwa Arusha fika pale ndo utaelewa.
 
A to Z unaijua mkuu au unaisikia? Kazi za pale asilimia 99 ni manual, wewe unashangaa hio idadi? Uliza huko kama ndugu arakuambia.Na wana ingia kwa shift si kwamba wote 10, 000 wanaingia kwa wakati mmoja hapana, kuna Shift.

Bado haujakishawishi, General tire yenyewe enzi hizo ilikuwa ni kiwanda kikubwa ukanda wote kiliajiri watu ~ 2000 hivi.

Watu 10 000 ni wengi sana hata kama ni manual work.

Kama kimeajiri watu wengi saana hawazidi 2000 na hapa naongelea directly employed siyo indirectly!
 
Bado haujakishawishi, General tire yenyewe enzi hizo ilikuwa ni kiwanda kikubwa ukanda wote kiliajiri watu ~ 2000 hivi.

Watu 10 000 ni wengi sana hata kama ni manual work.

Kama kimeajiri watu wengi saana hawazidi 2000 na hapa naongelea directly employed siyo indirectly!
A to Z ni labour Intensive mkuu, tofautisha na General tyre na hata viwanda vya bia au Soda ni vikubwa sana lakini ni full mashine.
 
Bado haujakishawishi, General tire yenyewe enzi hizo ilikuwa ni kiwanda kikubwa ukanda wote kiliajiri watu ~ 2000 hivi.

Watu 10 000 ni wengi sana hata kama ni manual work.

Kama kimeajiri watu wengi saana hawazidi 2000 na hapa naongelea directly employed siyo indirectly!
Pia General tire ni kiwando kidogo sana kwa A to Z , usha wahi kufika hata mazingira yake pale Kisongo?

Kiwanda kina viwanda ndani na wanazalisha baadhi ya Products za kutumia wao wenyewe kiwandani, unaweza ingia kule ndani ukakutana na product ukajiuliza mbona sijwahi iona mtaani?
 
Pia General tire ni kiwando kidogo sana kwa A to Z , usha wahi kufika hata mazingira yake pale Kisongo?

Kiwanda kina viwanda ndani na wanazalisha baadhi ya Products za kutumia wao wenyewe kiwandani, unaweza ingia kule ndani ukakutana na product ukajiuliza mbona sijwahi iona mtaani?
Kwa wakazi wa hili jiji tunakuelewa vizuri sana ila huyo hawezi kukuelewa hata kidogo mzee.
 
Tatizo la ajira nchi hii linahitaji sana Viwanda ambavyo ni Labour Intensive na sio Machine Intensive.

A to Z Arusha ni moja ya viwanda vikubwa sana vya Labour Intensive, linapo kuja swala la kuajiri, Watanzania wengi tunaichukulia poa kile kiwanda lakini Kile kiwanda linapo kuja swala la ajira hakina mpinzani nchi hii.

A to Za kikiwa ni kiwanda kinacho zalisha bidhaaa mbalimbali kuanzia Neti za mbu, Nguo, Vifaa ya Kilimo, vyomvo vya plastic na kadhalika kimeajiri Vijana wengi sana kuliko kiwanda au taasisi nyingine private.

A to Z ina zaidi ya Wafanyakazi 10, 000 hii ni idadi kubwa sana na hakuna hata kuwanda chenye nusu ya hao nchi hii.Sina uhakika hata vile ya Bia kama vina nusu ya hao.

Kama tungekuwa na Viwanda ya aina ya A to Z 500 ingekuwaje?

Chukulia Viwanda 500 x 10, 000 ni wafanyakazi Million 5 hii ni idadi kubwa sana na ingecutt sana tatizo la ajira nchi hii.

Serikali inapaswa kuwa na vigezo vya aina ya viwanda vinavyo hitajika, Viwanda ambavyo ni Labour Intensive vipewe kipaumbele cha kipekee ikiwa ni pamoja na misamaha ya Kodi.

Tuna vuwanda vingi unakuta ni full mashine na ubakuta kiwanda kina wafanya kazi 10, kiwanda kinawafantakazi 50 na hao ni wawekezaji wametoka nje kuja kuwekeza kwenye kiwanda chenye wafanyakazi 50.

Tuna ututili wa Viwanda na tunapewa takwimu kila mara kwamba viwanda 2000 maea viwanda 3000 lakini njoo kwenye uhalisia wa nguvu kazi pale, unakuta impact na hakuna kabisa.

Tunaweza punguza sana tatizo la ajira tukiwa na Viwanda aina ya A to Z hivi ndo viwanda vinavyo weza kusaidia kweli tatizo la ajira Tanzania na sio viwanda ya kuwa na staffu 6.

Tanzania Investment Centre na Mamalaka zingine nazani zi promote sana viwanda ambavyo ni Lavour Intensive , na hawa wapewe kila aina ya Upendeleo unao hitajika.

Hata kama vitakuwa na malipo Duni still inasaidia sana kwa sababu hata Staff asilimia 90 yao ni Unskilled labour ambao ndo wanao fanya kazi kwenye uzalishaji. Hawa ni vijana walio maliza kidato cha nne na Sita.

Mama anapo kuwa anafungua mipaka ni bora oia akawa anaainisha aina ya viwanda vinavyo hitajika hasa kwenye swala la ajiea make kama kiwanda kitakuja na Roboti za kufanya kazi haitakuwa na impact kwa jamii. Leo hii impact ya A to Z iko wazi kabisa.

Nakaribisha maoni, maswali.
Huu uzi umejaa udanganyifu hasa katika takwimu eti A to Z ina wafanyakazi 10,000 tatizo huko Arusha hamthamini elimu zaidi ya kubebea Watalii ndizi kama nyani na kufuga rasta
 
Huu uzi umejaa udanganyifu hasa katika takwimu eti A to Z ina wafanyakazi 10,000 tatizo huko Arusha hamthamini elimu zaidi ya kubebea Watalii ndizi kama nyani na kufuga rasta
Mkuu kwa hio wako wangapi? Shida ya sisu ni kupinga bila Data, A to Z nimefanya nao kazi nawajua sana elewa kwamba kile kiwanda ni kikubwa mno mno, na elewa kwamba kile kiwanda ni very labaour Intensive kuna wakati walikuwa wanaenda kukata kuni forest kule mlima Meru kwa ajili ya kuendeshea zile mashine zao na now day wana wanatumia Makaa ya mawe.
 
Huu uzi umejaa udanganyifu hasa katika takwimu eti A to Z ina wafanyakazi 10,000 tatizo huko Arusha hamthamini elimu zaidi ya kubebea Watalii ndizi kama nyani na kufuga rasta
Nchi kama Bangaladesh viwanda vya Nguo pekee yake vina zaidi ya wafanya kazi Milion 5. Viwanda vya nguo tu.
Siku ukifika mule kiwandani ndo utaelewa ninacho kisema, elewa kwamba kiwanda zaidi 90% ni manual.

Soma huko Bangalaseshi wastani wa Stafu kwenye kiwanda kimoja cha Textile ndo utaelewa hivi hivi hutaelewa.
 
Kwa wakazi wa hili jiji tunakuelewa vizuri sana ila huyo hawezi kukuelewa hata kidogo mzee.
Watu wanabisha ila A to Z ina wafanya kazu wengi balaa na hii ni Nature ya viwanda vya Textile, huko India, Bangaladeshi na kwingineneko Asia ni kawaida kukuta kiwanda kina stafuu hadi 15, 000 huku sisi tunaona ni maajabu
 
Watu wanabisha ila A to Z ina wafanya kazu wengi balaa na hii ni Nature ya viwanda vya Textile, huko India, Bangaladeshi na kwingineneko Asia ni kawaida kukuta kiwanda kina stafuu hadi 15, 000 huku sisi tunaona ni maajabu
Inashangaza sana
 
Wafanyakazi 10 000, are you crazy? Hivi hizi namba huwa mnazielewa lkn au mnazitaja tu? Unaelewa watu 10 000 ni watu kiasi gani? Wanafanya nini kwenye hicho kiwanda? Kuna kazi gani za kufanywa na watu 10 000? I mean, watu 10 000 ni idadi ya mji mzima!
Mkuu kausha basi mwamba awinde hiyo million 5
 
Tatizo la ajira nchi hii linahitaji sana Viwanda ambavyo ni Labour Intensive na sio Machine Intensive.

A to Z Arusha ni moja ya viwanda vikubwa sana vya Labour Intensive, linapo kuja swala la kuajiri, Watanzania wengi tunaichukulia poa kile kiwanda lakini Kile kiwanda linapo kuja swala la ajira hakina mpinzani nchi hii.

A to Za kikiwa ni kiwanda kinacho zalisha bidhaaa mbalimbali kuanzia Neti za mbu, Nguo, Vifaa ya Kilimo, vyomvo vya plastic na kadhalika kimeajiri Vijana wengi sana kuliko kiwanda au taasisi nyingine private.

A to Z ina zaidi ya Wafanyakazi 10, 000 hii ni idadi kubwa sana na hakuna hata kuwanda chenye nusu ya hao nchi hii.Sina uhakika hata vile ya Bia kama vina nusu ya hao.

Kama tungekuwa na Viwanda ya aina ya A to Z 500 ingekuwaje?

Chukulia Viwanda 500 x 10, 000 ni wafanyakazi Million 5 hii ni idadi kubwa sana na ingecutt sana tatizo la ajira nchi hii.

Serikali inapaswa kuwa na vigezo vya aina ya viwanda vinavyo hitajika, Viwanda ambavyo ni Labour Intensive vipewe kipaumbele cha kipekee ikiwa ni pamoja na misamaha ya Kodi.

Tuna vuwanda vingi unakuta ni full mashine na ubakuta kiwanda kina wafanya kazi 10, kiwanda kinawafantakazi 50 na hao ni wawekezaji wametoka nje kuja kuwekeza kwenye kiwanda chenye wafanyakazi 50.

Tuna ututili wa Viwanda na tunapewa takwimu kila mara kwamba viwanda 2000 maea viwanda 3000 lakini njoo kwenye uhalisia wa nguvu kazi pale, unakuta impact na hakuna kabisa.

Tunaweza punguza sana tatizo la ajira tukiwa na Viwanda aina ya A to Z hivi ndo viwanda vinavyo weza kusaidia kweli tatizo la ajira Tanzania na sio viwanda ya kuwa na staffu 6.

Tanzania Investment Centre na Mamalaka zingine nazani zi promote sana viwanda ambavyo ni Lavour Intensive , na hawa wapewe kila aina ya Upendeleo unao hitajika.

Hata kama vitakuwa na malipo Duni still inasaidia sana kwa sababu hata Staff asilimia 90 yao ni Unskilled labour ambao ndo wanao fanya kazi kwenye uzalishaji. Hawa ni vijana walio maliza kidato cha nne na Sita.

Mama anapo kuwa anafungua mipaka ni bora oia akawa anaainisha aina ya viwanda vinavyo hitajika hasa kwenye swala la ajiea make kama kiwanda kitakuja na Roboti za kufanya kazi haitakuwa na impact kwa jamii. Leo hii impact ya A to Z iko wazi kabisa.

Nakaribisha maoni, maswali.
Yaani kuwakusanya watanzania wengi na kuwasulubu kwa masaa 12 kisha kuwalipa elfu 6 kwa siku ndio suluhisho la ukosefu wa ajira?
Fikiria mara 2 kabla ya kuandika mada.
 
Back
Top Bottom