D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Jun 7, 2018 #1 vipi nitalimaliza wakuu, pamoja na tumbo kujaa gesi mara kwa mara.
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jun 7, 2018 #2 1. Kunywa maji litre 2 kwa siku 2. Matunda na mboga 3. Fanya mazoezi, kimbia au tembea kwa dakika 45-60
1. Kunywa maji litre 2 kwa siku 2. Matunda na mboga 3. Fanya mazoezi, kimbia au tembea kwa dakika 45-60
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Jun 7, 2018 #3 dos.2020 said: vipi nitalimaliza wakuu, pamoja na tumbo kujaa gesi mara kwa mara. Click to expand... Alafu jitahidi kila siku asubuhi wakati wa kuswaki achama mdomo toa ulimi nje pitisha mswaki hadi hapo kooni utapike hewa kama mara 3 hivi kwa mda wa siku 3 akimalaza lete mrejesho hapa
dos.2020 said: vipi nitalimaliza wakuu, pamoja na tumbo kujaa gesi mara kwa mara. Click to expand... Alafu jitahidi kila siku asubuhi wakati wa kuswaki achama mdomo toa ulimi nje pitisha mswaki hadi hapo kooni utapike hewa kama mara 3 hivi kwa mda wa siku 3 akimalaza lete mrejesho hapa