Aiseeee hili tatizo linanisumbua kweli nimeambiwa damu imezidi kiwango badala ya kuwa 85% imefikia mpaka 132%.
Sasa inaonekana nishakuwa ngombe wa kubeba midamu yote hiyo.
Na kibaya zaidi kichwa kinasumbua kwel mara kwa mara mpaka kuongea inakua tatizo.
Sijui nfanyaje wadau nisaidieni.
Sasa inaonekana nishakuwa ngombe wa kubeba midamu yote hiyo.
Na kibaya zaidi kichwa kinasumbua kwel mara kwa mara mpaka kuongea inakua tatizo.
Sijui nfanyaje wadau nisaidieni.