Tatizo la damu kuzidi mwilini

BAILO

Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
43
Reaction score
5
Aiseeee hili tatizo linanisumbua kweli nimeambiwa damu imezidi kiwango badala ya kuwa 85% imefikia mpaka 132%.

Sasa inaonekana nishakuwa ngombe wa kubeba midamu yote hiyo.

Na kibaya zaidi kichwa kinasumbua kwel mara kwa mara mpaka kuongea inakua tatizo.

Sijui nfanyaje wadau nisaidieni.
 
Alaf ufanye blood donation unadamu yote iyo badala ungetoa hapo hapo hospital mbona mchoyo hivyo
 
nop doctor alinambia kutoa damu co fresh cz itanilazimu kila baada ya miezi m3 kutoa tena
 

wewe una tatizo linaitwa Haemochromatosis, au iron overload/kujaa kwa madini ya chuma mwilini.

Kuna uwezekano mkubwa umerithi kama tatizo limeanza siku nyingi lakini kama una zaidi miaka 40 na limeanza karibuni basi limesababishwa na lifestyle yako.

Epuka kula vyakula vyenye madini mengi ya chuma (iron/folic acid/vitamin B12) chakuka kama maini acha kabisa.

Ingekuwa vizuri utuambie umri wako na unakula nini kwa kawaida kila siku. Ili tukusaidie zaidi.
 
umri wangu ni miaka isiyozidi 30 na huwa napendlea kula vyakula vya kawaida tu km wali ugali na tambi au nyama na tatizo lina wiki ya pili sasa lakin hapo mwanzo nilikuwa nasumbuliwa na kutokwa na dam puan mara kwa mara lakini tatizo hilo likaacha
 
umri wangu ni miaka isiyozidi 30 na huwa napendlea kula vyakula vya kawaida tu km wali ugali na tambi au nyama na tatizo lina wiki ya pili sasa lakin hapo mwanzo nilikuwa nasumbuliwa na kutokwa na dam puan mara kwa mara lakini tatizo hilo likaacha

kwasababu ulikuwa na tatizo la kutoka damu, linahusiana na hili, kuna uhakika kwamba umerithi tatizo hili na kwasasa utakuwa unapata maumivu ya kichwa kwasababu damu haitoki.

kama ukiweza kuepuka vyakula kama nyama hasa maini, na jaribu kula vyakula visivyokuwa na iron kabisa.

Pia muone daktari aliyeko karibu na akupe ushauri:-

kuna namna mbili ya kukusaidia, ningeshauri epuka vidonge vya muda mrefu.

kama inawezekana utoe damu, mara moja kila miezi miwili kwa muda wa mwaka mmoja. kama tatizo likijirudia basi ndio uanze kutumia vidonge. jaribu kwanza kutoa damu alafu nitakufuatilia baada ya mwaka mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…