Tatizo la facebook kutofunguka kwenye internet ya Vodacom!

Tatizo la facebook kutofunguka kwenye internet ya Vodacom!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wakuu hili tatizo kwangu ni zaidi ya siku 5, ni hivi facebook haifunguki kwenye browser (chrome), nimefanya troubleshoot ya kila namna lakini wapi!

Ila cha ajabu Airtel hata Halotel inafunguka fresh, customer care nimewacheki wao wanadai ni tatizo la facebook wenyewe (najua hii ni nonsense), hawa customer care mara nyingi huwa hawajui wanachokifanya.

Sasa nataka nijua, kwa watumiaji wa browser pia mnapata hii changamoto? Je solution ni ipi? Nimejaribu mpaka kubadili dns lakini bado changamoto ilo pale pale.

Cc vodacom
View attachment 3030912
 
Itakuwa IP za Voda zimepigwa ban kwenye web itabidi labda utumia VPN lakini hizo nazo zina matatizo yake.
 
Jaribi vpn. Kama inafungua ijue voda wanahusika
 
App hata kwangu inafunguka, tatizo ni kwenye browser kwa tunaotumia pc!
Inafunguka mbona nimetoka kuifungua sasa hivi kuthibitisha madai yako nimeifungua kupitia browser ya chrome kwa pc na natumia internet ya voda
 
Back
Top Bottom