Habari wana jamii
Nasumbuliwa na tatizo la fangusi kwenye korodani na nilipata baada ya kukutana na mwanamke mwenye tatizo hilo apo ndipo nilipoaanza kuwasha mikono na mapajani sasa hivi nawashwa kwenye korodani na kuna mabaka kama ya kuugua hivi... Na ngozi ya korodani kuwa nyeupee sana na laini hadi pembezoni mwa mapaja
Tatito lilianza mwezi wa 7 mpka sasa na sijakutana na mwanamke toka mwezi huo mpka leo na hofu sana nimepima damu niliambia nina bactria kwenye damu
Nakosana raha ifikapo usiku nawashwa sanaa yani nakosana raha naomba ushauri wenu
Nasumbuliwa na tatizo la fangusi kwenye korodani na nilipata baada ya kukutana na mwanamke mwenye tatizo hilo apo ndipo nilipoaanza kuwasha mikono na mapajani sasa hivi nawashwa kwenye korodani na kuna mabaka kama ya kuugua hivi... Na ngozi ya korodani kuwa nyeupee sana na laini hadi pembezoni mwa mapaja
Tatito lilianza mwezi wa 7 mpka sasa na sijakutana na mwanamke toka mwezi huo mpka leo na hofu sana nimepima damu niliambia nina bactria kwenye damu
Nakosana raha ifikapo usiku nawashwa sanaa yani nakosana raha naomba ushauri wenu