Na ameshaenda CASHaiui kitu huyo mkuu [emoji3].
Feisal akienda CAS hukumu itakuwa ni ailipe yanga fidia ili awe huru basi
🚨 'FEI KAISHITAKI (TFF) sio YANGA!'We ndio huelewi kwani si alishaomba kuvunja yanga na tff hawataki,
Haya maamuzi sijui ya wapi
Basi kasha enda mwenzioNimeandika akienda
Safi sana, unajua ilikuwa inashangaza yaani kuna mkataba usiovunjwa? Ndoa ya kikatoriki yenyewe inavunjwa pamoja na masheria yoote 😀😀 onyango mwenyewe alitaka kusepa akachungulia mkataba wake akajikuta Gharama yake ni kama b 1 na nusu akanyuti, sembuse milioni 100 thamani ya feisal akailipa na kusepaBasi kasha enda mwenzio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahSafi sana, unajua ilikuwa inashangaza yaani kuna mkataba usiovunjwa? Ndoa ya kikatoriki yenyewe inavunjwa pamoja na masheria yoote [emoji3][emoji3] onyango mwenyewe alitaka kusepa akachungulia mkataba wake akajikuta Gharama yake ni kama b 1 na nusu akanyuti, sembuse milioni 100 thamani ya feisal akailipa na kusepa
Kwenye mpira sio mikataba yote inaweza kuvunjwa. Kwa mujibu wa sheria za FIFA mchezaji ambae hajafikisha miaka 28 na hajatumikia club yake kwa misimu 3 akitaka kuvunja mkataba na club yake bila sababu ya msingi basi mwajiri au club inaweza kumkatalia kuvunja mkataba.Safi sana, unajua ilikuwa inashangaza yaani kuna mkataba usiovunjwa? Ndoa ya kikatoriki yenyewe inavunjwa pamoja na masheria yoote 😀😀 onyango mwenyewe alitaka kusepa akachungulia mkataba wake akajikuta Gharama yake ni kama b 1 na nusu akanyuti, sembuse milioni 100 thamani ya feisal akailipa na kusepa
Si ameshasema hayo amesamehe, yeye anataka kuondoka Yanga basi.Tatizo lake ujinga.
Unamuita jasmine razak bushlawyer wakati ni mwanasheria Anayeaminika Africa ameshinda kesi ya msuva alimsimamia Emanuel ebou ila alikwama kwasababu alikosa running cost ikawa ebou analala kwa jasmine Leo unamuita kilaza mbele ya Simon Patrick mwanasheria wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.
Naona umeamka na makaburi ya nyuzi za FeisalEti Feitoto alitaka Yanga waachane na Hersi ndo yeye ataendelea kuichezea Yanga😀