Tatizo la gari aina ya toyota corolla spacio 2002 cc 1490 kula mafuta km 7 kwa lita

Tatizo la gari aina ya toyota corolla spacio 2002 cc 1490 kula mafuta km 7 kwa lita

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Tatizo limeanza kitambo nilionana na mafundi ila huku bariadi gari hizo ni chache na mafundi wanafanya kama kubahatisha tu.
Ni wiki mbili nilipitia mitandao mbali mbali ya nagari walishauri niagalie mfumo mzima wa eksoz na sensor zake na kugundua oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected.
sasa nataka kubadili oxygen sensor niweke mpya na nozzles pia nataka kujua bei yake. gari haina Shida nyingine ya kiufundi zaidi ya ulaji Mafuta ushauri tafadhari
 
Tatizo limeanza kitambo nilionana na mafundi ila huku bariadi gari hizo ni chache na mafundi wanafanya kama kubahatisha tu.
Ni wiki mbili nilipitia mitandao mbali mbali ya nagari walishauri niagalie mfumo mzima wa eksoz na sensor zake na kugundua oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected.
sasa nataka kubadili oxygen sensor niweke mpya na nozzles pia nataka kujua bei yake. gari haina Shida nyingine ya kiufundi zaidi ya ulaji Mafuta ushauri tafadhari
Watakuja wataalamu
 
Tatizo limeanza kitambo nilionana na mafundi ila huku bariadi gari hizo ni chache na mafundi wanafanya kama kubahatisha tu.
Ni wiki mbili nilipitia mitandao mbali mbali ya nagari walishauri niagalie mfumo mzima wa eksoz na sensor zake na kugundua oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected.
sasa nataka kubadili oxygen sensor niweke mpya na nozzles pia nataka kujua bei yake. gari haina Shida nyingine ya kiufundi zaidi ya ulaji Mafuta ushauri tafadhari
Umeshapata ufumbuzi??

Rekebisha kwanza hiyo oxygen sensor, ina uhusiano na catalytic converters, ikishindwa kupeleka taarifa vizuri inameslead taarifa za mafuta pia kwahiyo matumizi yanaongezeka
Safisha air filter pia kwa kua nzia. Tupe mrejesho baada ya hapo
 
Spacio new model ni NZ family kwa 1.5cc na ZZ family kwa 1.8 CC. Hizi ndo injini zinazotamba kwasasa, aweke ipi tena? [emoji23][emoji23][emoji23]

Aweke injini ya diesel yamaha, boda boda lkn mtumbwi hauna rejeta kumbuka, oil filta itasumbua


Sent using Kirikuu
 
Tatizo limeanza kitambo nilionana na mafundi ila huku bariadi gari hizo ni chache na mafundi wanafanya kama kubahatisha tu.
Ni wiki mbili nilipitia mitandao mbali mbali ya nagari walishauri niagalie mfumo mzima wa eksoz na sensor zake na kugundua oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected.
sasa nataka kubadili oxygen sensor niweke mpya na nozzles pia nataka kujua bei yake. gari haina Shida nyingine ya kiufundi zaidi ya ulaji Mafuta ushauri tafadhari
Weka nozzle mpya, weka plag zile za sindano. Then tumia. Magali ya efi huwa shida zipo kwenye plug zaid na nozzle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom