BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,248
Heshima kwenu wakuu.
Nina gari yangu aina ya toyota runx.
Juzi kati iliingia kwenye shimo kwa mbele na kuinama sana huku upande wa nyuma ukiwa juu.
Sasa baada ya kutolewa ikawa inatatizo hilo ka kutoa moshi mzito kwenye exhasault(bomba la moshi)
Sasa leo nimefungua bonet na kucheck ile sponji inayochuja hewa nikakuta imeloa oil ni balaa.
Msaada wakuu nifanyeje hapo lkn tatizo lilianza kabla ya gari kuingia shimoni na baada ya kuingia shimoni ndio tatizo limeongezeka.
Nina gari yangu aina ya toyota runx.
Juzi kati iliingia kwenye shimo kwa mbele na kuinama sana huku upande wa nyuma ukiwa juu.
Sasa baada ya kutolewa ikawa inatatizo hilo ka kutoa moshi mzito kwenye exhasault(bomba la moshi)
Sasa leo nimefungua bonet na kucheck ile sponji inayochuja hewa nikakuta imeloa oil ni balaa.
Msaada wakuu nifanyeje hapo lkn tatizo lilianza kabla ya gari kuingia shimoni na baada ya kuingia shimoni ndio tatizo limeongezeka.