hapo itakuwa baada ya gari kubinukia mbele oil itakuwa imemwajika kwenye sehemu ya juu ya engine,mara nyingi ikitokea hivi gari huwa linazima lenyewe ili kuizuia engine isiharibiwe since oil presure inakuwa ndogo sana,iwapo utaendelea kulilazimisha gari kuwaka itapelekea kwenye kitu kinaitwa "hydrolock" na engine itakuwa ndio byeee...
Unachotakiwa kufanya ni kufungua hiyo top na kuondoa plugs na kuzisafisha pamoja na kuondoa oil yote iwapo imeingia kwenye mojawapo ya cylinder,unafanya hivyo baada ya kuzungusha engine kwa mkono na kurusha oil yote nje:warning wakati unafanya hii kitu weka mbali uso wako.baada ya hapo safisha oil yote iliyoingia kwenye cleaners n.k,then weka oil tena vizuri alafu piga moto gari nenda mbali kadiri uwezavyo,after 3 or 4 days utaona gari imerudi kwenye mstari.