Tatizo la gari kutomaliza gear zote

Tatizo la gari kutomaliza gear zote

mathabane

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
2,405
Reaction score
1,894
Habari wadau.
Nina kigari changu carina ti inafanya kazi kama tax.

Yapata wiki sasa gari inaishia gia no4, yaani haifiki no5. Wakati huohuo rpm inakuwa kubwa kupita kiasi.

Mf. Kwa speed ya 90kmh rpm inasoma 4.5 wakati 60kmh rpm iko 3.5.

Fundi aliniambia ni service ya gear box inahitajika. Nimefanya service ila holaah. Mwisho kanishauri ninunue gearbox mpya.

Wadau nipeni ushauri fundi gani mtaalamu wa hili tatizo
 
Habari wadau.
Nina kigari changu carina ti inafanya kazi kama tax.

Yapata wiki sasa gari inaishia gia no4, yaani haifiki no5. Wakati huohuo rpm inakuwa kubwa kupita kiasi.

Mf. Kwa speed ya 90kmh rpm inasoma 4.5 wakati 60kmh rpm iko 3.5.

Fundi aliniambia ni service ya gear box inahitajika. Nimefanya service ila holaah. Mwisho kanishauri ninunue gearbox mpya.

Wadau nipeni ushauri fundi gani mtaalamu wa hili tatizo

Kafanye gearbox checkup kwenye mashine upate majibu ya uhakika
 
Habari wadau.
Nina kigari changu carina ti inafanya kazi kama tax.

Yapata wiki sasa gari inaishia gia no4, yaani haifiki no5. Wakati huohuo rpm inakuwa kubwa kupita kiasi.

Mf. Kwa speed ya 90kmh rpm inasoma 4.5 wakati 60kmh rpm iko 3.5.

Fundi aliniambia ni service ya gear box inahitajika. Nimefanya service ila holaah. Mwisho kanishauri ninunue gearbox mpya.

Wadau nipeni ushauri fundi gani mtaalamu wa hili tatizo
Carina ina gear 4. Hiyo gear namba tano unayoitaka wewe ni ya wapi?

Kama gear zote nne zinaingia then shida iko kwenye mpangilio wa gear. Shift points zimehama probably. Ingekuwa ni toyota ya kuanzia 2003 ningekurekebishia.

Ila kabla ya kununua gearbox nyingine katafute control box nyingine kwanza ujaribu.
 
wakuu na mm napata shida hiyo hiyo. Gari yangu ni RaV4 2006 ina gia 7 lakini zinaingia sita tuu na RPM ipo juu
 
Ok ahsante. Sasa nini kinafanya rpm kuwa juu sana?
Carina ina gear 4. Hiyo gear namba tano unayoitaka wewe ni ya wapi?

Kama gear zote nne zinaingia then shida iko kwenye mpangilio wa gear. Shift points zimehama probably. Ingekuwa ni toyota ya kuanzia 2003 ningekurekebishia.

Ila kabla ya kununua gearbox nyingine katafute control box nyingine kwanza ujaribu.
 
Back
Top Bottom