Tatizo la gari kuwaka taa ya oil

Tatizo la gari kuwaka taa ya oil

Se-qu-el

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
237
Reaction score
113
Habari wanabodi, gari langu limekuwa na tatizo la kuwaka taa ya oil, na inawaka na kuzima yaani kuna muda inablink na kuna muda inazima sijui tatizo ni nini, naomba msaada wa maelezo.
 
Ukiendelea tegemea vyuma kukaza na kusagana kwisha habari yake hiyo, injini.
 
Usiogope mkuu,inaweza kuwa case ya kawaida kabisa...mara nyingi oil pressure inapokuwa chini hiyo taa inaweza kuwa inablink.... Sababu pia ni nyingi za oil pressure kuwa chini,kama uko barabarani for the time being unaweza kutroubleshoot mwenyewe hiyo kujua kama uko safe kwenye engine au laa.
cha kufanya Park gari sehemu nzuri,zima iache ipoee...Check oil level kwa kutumia hiyo dipstick,kama level iko sawa, Fungua mfuniko wa engine oil...kisha washa gari angalia kama hapo ulipotoa mfuniko kama oil inafika..utajuaa kwa kuona oil ikirukaruka...kama gari ikiwa silence oil hairuki ruki....kanyaga accelerator taratiiib kisha check kama oil inaruka ruka hapo....kama oil inarukaruka hapo ur safe unaweza ipeleka gari gereji ikachekiwe pressure sensor na viscosity ya hiyo oil inaweza kuwa imechoka sana....kama oil hairuki ruki hapo ulipotoa mfuniko,its bad sign...usiendeshe gari unaweza kuiharibu engine...mwite fundi acheki tatizo.
 
Habari wanabodi,gari langu limekuwa na tatizo la kuwaka taa ya oil,na inawaka na kuzima yaani kuna muda inablink na kuna muda inazima cjui tatizo ni nini,naomba msaada wa maelezo.
Poleee mkuu,kama ni tatizo la muda mrefu na linatokea ukiwa unaendesha gari itakuwa ni issue ya pressure sensor..ila ikiwa ni mara ya kwanza kutokea na huko barabarani iegeshe gari pembeni ufanye troubleshooting kama uko salama kwenye engine au Laah.
 
Usiogope mkuu,inaweza kuwa case ya kawaida kabisa...mara nyingi oil pressure inapokuwa chini hiyo taa inaweza kuwa inablink.... Sababu pia ni nyingi za oil pressure kuwa chini,kama uko barabarani for the time being unaweza kutroubleshoot mwenyewe hiyo kujua kama uko safe kwenye engine au laa.
cha kufanya Park gari sehemu nzuri,zima iache ipoee...Check oil level kwa kutumia hiyo dipstick,kama level iko sawa, Fungua mfuniko wa engine oil...kisha washa gari angalia kama hapo ulipotoa mfuniko kama oil inafika..utajuaa kwa kuona oil ikirukaruka...kama gari ikiwa silence oil hairuki ruki....kanyaga accelerator taratiiib kisha check kama oil inaruka ruka hapo....kama oil inarukaruka hapo ur safe unaweza ipeleka gari gereji ikachekiwe pressure sensor na viscosity ya hiyo oil inaweza kuwa imechoka sana....kama oil hairuki ruki hapo ulipotoa mfuniko,its bad sign...usiendeshe gari unaweza kuiharibu engine...mwite fundi acheki tatizo.
Asante sana,nitafanya kazi hiyo muda siyo mrefu.
 
Aisee nimejaribu kucheck cjaona matokeo,nimeangalia oil ipo mpaka kwenye full lakini nikifungua pale hairuki ruki pia nikikanyaga accelerator pia hairuki nikajua ni kwa sababu stick za toyota corolla ni ndefu sana na oil ni nzito kidogo
 
Aisee nimejaribu kucheck cjaona matokeo,nimeangalia oil ipo mpaka kwenye full lakini nikifungua pale hairuki ruki pia nikikanyaga accelerator pia hairuki nikajua ni kwa sababu stick za toyota corolla ni ndefu sana na oil ni nzito kidogo
Mkuu kama oil hairuki ruki pale kwenye oil cap,ina maana ya kwamba huo mzunguko wa oil haukamiliki na hiyo ni very risk kudrive katika hali hiyo....Tafadhari tafuta fundi akusaidie kujua tatizo ni nini.
 
Ilimtokea rafiki yangu akafosi kaendelea na safari ,daah aliikaanga engine block ikamlazimu kununua mpya
 
Mkuu kama oil hairuki ruki pale kwenye oil cap,ina maana ya kwamba huo mzunguko wa oil haukamiliki na hiyo ni very risk kudrive katika hali hiyo....Tafadhari tafuta fundi akusaidie kujua tatizo ni nini.
Ok
 
Back
Top Bottom