Tatizo la gari, kwanini milango hai-lock?

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Habari mafundi humu

Natumia gari aina ya verosa ilikuwa ipo vizuri kabisa

Juzi kati nikafunga android tv town huko sasa wakati naludi hendiketa zikakata ghafla zikawa haziwaki zote, kesho yake nikampa fundi alkebishe kuna fundi wa mtaani kwetu akafanikiwa taa zikawa safi, sasa analudisha gari nakagua gari naona taa ya chek injini inawaka nikamwambia vipi mzee taa hii, dah kaangaika nayo sana kaishindwa nikamwmbia achana nayo siku kama mbili hivi nikawaita wale mafundi waliofunga ile android tv kawaset pale ile taa ya chek ikazima wakasepa zao.

Sasa natoka sijafika mbali taa ya chek injin ikawa inawaka huku inakata kata yan inabweza nikipiga matuta taa inazima inawaka kila nikipiga tuta daah nikaachana nayo.

Sasa juzi tena hediketa zikaludia kuzima nikamuita yule fundi maana yupo hapa mtaani karibu kalkebisha kama mwanzo zikakubali, sasa kaaribu tena tatizo lingine nilock gari na funguo kwa nje milango mingine yote hailock unalock mmoja tuh wadereva ambao nimefunga na funguo, kama milango mingine haijalockiwa inabidi niweke switch on nilokie kwa ndani pale kwa dereva. naombeni ushauli mafundi

KIFUPI ZAIDI [emoji116]

Aina ya Gari: Toyota Verossa

Tatizo:
Hendiketa Zikakata: Baada ya kufunga Android TV, hendiketa za gari zilikata ghafla.

Taa ya Check Engine: Taa ya check engine inawaka na kuzima kila gari linapopiga matuta.

Kufunga Milango: Mlango wa dereva tu ndio unalock kwa kutumia funguo. Milango mingine inabidi ifungwe kwa ndani kwa kutumia switch.

Hatua Zilizochukuliwa:
Fundi wa mtaani alirekebisha hendiketa.

Mafundi wa Android TV walizima taa ya check engine, lakini tatizo likarudi.

USHAURI
 
Washavuruga mfumo wa umeme ingekuwa rafiki yangu dualis haikawii kuwaka moto. Mimi na maredio hayo sifungi kwa gari maana mafundi wetu wanafunga funga vitu tu. Tafuta mtaalamu wa wiring ya magari na suala la check engine kwanini usiipeleke ikafanyiwa diagnosis kwenye machine ya kupima magari mkuu kuliko watu kubahatisha
 
Nliwauliza wale wafundi wanasema haina haja ngoja walkebishe
 
Peleka gari kwenye gereji za kisasa achana na mambo ya gereji bubu za akina fundi Juma, fundi Maiko watakuulia gari.
 
Habari mafundi humu

Natumia gari aina ya verosa ilikuwa ipo vizuri kabisa

Juzi kati nikafunga android tv town huko sasa wakati naludi hendiketa zikakata ghafla zikawa haziwaki zote, kesho yake nikampa fundi alkebishe kuna fundi wa mtaani kwetu akafanikiwa taa zikawa safi, sasa analudisha gari nakagua gari naona taa ya chek injini inawaka nikamwambia vipi mzee taa hii, dah kaangaika nayo sana kaishindwa nikamwmbia achana nayo siku kama mbili hivi nikawaita wale mafundi waliofunga ile android tv kawaset pale ile taa ya chek ikazima wakasepa zao.

Sasa natoka sijafika mbali taa ya chek injin ikawa inawaka huku inakata kata yan inabweza nikipiga matuta taa inazima inawaka kila nikipiga tuta daah nikaachana nayo.

Sasa juzi tena hediketa zikaludia kuzima nikamuita yule fundi maana yupo hapa mtaani karibu kalkebisha kama mwanzo zikakubali, sasa kaaribu tena tatizo lingine nilock gari na funguo kwa nje milango mingine yote hailock unalock mmoja tuh wadereva ambao nimefunga na funguo, kama milango mingine haijalockiwa inabidi niweke switch on nilokie kwa ndani pale kwa dereva. naombeni ushauli mafundi

KIFUPI ZAIDI [emoji116]

Aina ya Gari: Toyota Verossa

Tatizo:
Hendiketa Zikakata: Baada ya kufunga Android TV, hendiketa za gari zilikata ghafla.

Taa ya Check Engine: Taa ya check engine inawaka na kuzima kila gari linapopiga matuta.

Kufunga Milango: Mlango wa dereva tu ndio unalock kwa kutumia funguo. Milango mingine inabidi ifungwe kwa ndani kwa kutumia switch.

Hatua Zilizochukuliwa:
Fundi wa mtaani alirekebisha hendiketa.

Mafundi wa Android TV walizima taa ya check engine, lakini tatizo likarudi.

USHAURI
 
Hapo inabidi utie diagnosis machine ili uelewe shida ya mfumo mzima wa umeme kuliko kuendelea kubahatisha.
 
Utaunguza gari kwa kubadilisha radio kuweka radio ya android kwa mafundi wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…