king kakaa
Member
- Sep 26, 2018
- 25
- 79
Niende kwenye Topic muhimu direct mimi King Kakaa na rafiki yangu tulie shibana sana jina Kapuni.
Rafiki yangu huyo naishi nae jirani hapa mjini ila Mkewe mwajiriwa Mkoa mwingine tofauti na mumewe sasa Jana jioni bila kunificha alianza kunieleza yanayo msibu.
Yeye ni Mtu wa Totoz sana sasa mbali na Mke wake ana wanawake wengine kama wa4 nawote ana wafanya kama wake zake na tendo hufanya haswa na sifa yake kubwa kwa Wanawake wake ilikua ni uwezo wake wakufanya sex na kuweza kuwa pagawisha wadada.
Sasa juzi Ijumaa Mkewe alirudi na kuja toka Mkoani na alikua amemaliza 40 toka alipo jifungua mkewe alimis tendo kutoka kwa mume wake ikabid a mwambie mumewe afanye chaajabu kidume yule mpaka napandisha uzi hapa mashine yake haijasimama na j5 kuamkia alhamis Ali toka kulala na mmoja wa mademu zake.
Sasa aliniomba ushauri kama mshikaji wake na aliniomba ni mchekie dawa nilifanya kwa nafasi yangu ila nikashindwa kumfanikishia.
Nikaona nipite kwenye jukwaa mana kwenye watu hapa kos jambo kama mwenye kujua naomba tumapmbanie kijana mwenzetu.
Rafiki yangu huyo naishi nae jirani hapa mjini ila Mkewe mwajiriwa Mkoa mwingine tofauti na mumewe sasa Jana jioni bila kunificha alianza kunieleza yanayo msibu.
Yeye ni Mtu wa Totoz sana sasa mbali na Mke wake ana wanawake wengine kama wa4 nawote ana wafanya kama wake zake na tendo hufanya haswa na sifa yake kubwa kwa Wanawake wake ilikua ni uwezo wake wakufanya sex na kuweza kuwa pagawisha wadada.
Sasa juzi Ijumaa Mkewe alirudi na kuja toka Mkoani na alikua amemaliza 40 toka alipo jifungua mkewe alimis tendo kutoka kwa mume wake ikabid a mwambie mumewe afanye chaajabu kidume yule mpaka napandisha uzi hapa mashine yake haijasimama na j5 kuamkia alhamis Ali toka kulala na mmoja wa mademu zake.
Sasa aliniomba ushauri kama mshikaji wake na aliniomba ni mchekie dawa nilifanya kwa nafasi yangu ila nikashindwa kumfanikishia.
Nikaona nipite kwenye jukwaa mana kwenye watu hapa kos jambo kama mwenye kujua naomba tumapmbanie kijana mwenzetu.