Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Dada hauna kisukari acha kujipa stress.

Kama kwenu mna historia ya kuwa na kisukari unapaswa kuwa na wasiwasi. Kama mna hereditary DM basi cha msingi ni kuishi positive life ili kikuepuke.
Kwa hiyo niendelee kunywa chai yenye sukari,nile wali,ugali kama kawaida eeh?
 
Mkuu ugali wa dona au muhogo siyo wanga
 
Kwa hiyo niendelee kunywa chai yenye sukari,nile wali,ugali kama kawaida eeh?
Mm nakushauri uwe na uhakika km ni kisukari au sio kabla ya kuamua kula hayo mawali na manyama na kunywa chai yenye sukari na soda, vinginevyo km ni sukari utaumia sn, sukuri inazinguwa ukiichelewesha
 
Hahahhhaahhah unanichekesha,kwanza in short mimi sio mtu wa kula protein sana. Mayai nyama huwa sili ndo maana jibu lako halikurelate na stuation yangu na ndo maana nikakujibu hivyo. Pili mimi napenda kula ugali sana labda ungeniambia starch hapo ningekuelewa,UTI ndo sijawahi ugua kabisa yaani. Mimi ni muumini wa kunywa atleast litamoja ya maji kila siku. Yaani kwa ujumla organs zangu zote zipo safi kasoro pancrΓ©as ndo inafikia limit ila nita reverse tu hii stuation.
 
Pole sana aisee fuata masharti ya daktari. Mie nilipima kila kitu kama wiki nne zilizopita. Nikawa nimesafiri zangu narudi home nakuta message ya Dr, BAK njoo unione.

Mie tumbo joto nadhani labda hiki labda kile labda nilimopitapita wasi wasi mtindo mmoja. Nikapinga moyo konde baada ya siku tatu tangu nirudi nikaenda kumuona.

Jina langu kuitwa tumbo moto wasiwasi ukaongezeka. Namcheck Doctor usoni anipe reaction ya hali yangu wapi. Anaanza kuniuliza salaam kwanza blah blah blah mie moyoni niko hivi 😳.

BAK uko bomba kila kitu chako kiko safi endelea kufanya unachofanya mie hapo relief ya hali ya juu. Namwambia nilikuwa na wasiwasi sana. Ananiambia mie nilikuwa sihofii kitu unaonekana uko bomba.

Na mie ni mlaji mzuri sana wa vyakula vyetu vya wanga. Sukari pia natumia mara nyingi kwenye chai tu vitu vitamu si mpenzi sana na kazini huwa navikwepa maana waletaji wa tamu tamu wako kibao.

Natoka hapo namshukuru Mwenyezi Mungu πŸ™πŸ½

Pole sana best ila usiwe na hofu. Nilisikia majani ya mzambarau ukichemsha na kunywa yanasaidia sana. Ngoja nihakikishe nitarudi.

Victoire,
 
Tunaambiwa juice hata za kutengeneza hazifai ,kula matunda yanafibre si juice
Ni kweli leo youtube niliangalia video ya Dr Mohamed Janaba alipokuwa akihojiwa CLouds de tv kweli alisema hivyo,ni bora kula matunda kuliko Juice.
 
Tunaambiwa juice hata za kutengeneza hazifai ,kula matunda yanafibre si juice
Juisi ya kutengeneza nyumbani mwenyewe ndio nimekusudia, kwasababu kila kiwango unakisia mwenyewe.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Ila umeniacha hoi protini inasababisha sukari
Hujui wewe, mimi huwa siangalii tatizo huwa naangalia chanzo, sio protini tu ndo husababisha kisukari hata cancer zaidi ya 80% chanzo ni protein, au nawe unataka ubishi.

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa."
 
Grams hazijazidi normal.

Km mna historia ya kisukari take care. Fuata ushauri uliopewa huko juu. Lakini kwa sasa sioni haja ya ww kuwa na wasiwas sabab hauna dalili hata moja.
Hivi kukutwa na sukari nyingi kwenye mkojo ni kawaida?
 
Pole sana bt blv uko ok, muhimu fanya vipimo tena katika hosp mbili tofauti..

Swali moja tu kwako!! ni nini kilipelekea ukawa unapima sugar level mara kwa mara je ulihisi unaweza kuwa na tatizo??
 
Pole sana bt blv uko ok, muhimu fanya vipimo tena katika hosp mbili tofauti..

Swali moja tu kwako!! ni nini kilipelekea ukawa unapima sugar level mara kwa mara je ulihisi unaweza kuwa na tatizo??
Wala sikuhisi,huwa mwaka nachech afya yangu hii ni routine niliyojiwekea,hivyo nilifanya vipimo vya full blood picture na mkojo pia ndo nikaonekana sukari imezidi kiwango kwenye damu na kwenye mkojo pia,ndo kutokea hapo nika napima mara mbili kwa mwezi huku nimeacha kabisa kutumia sukari.
 
Grams hazijazidi normal.

Km mna historia ya kisukari take care. Fuata ushauri uliopewa huko juu. Lakini kwa sasa sioni haja ya ww kuwa na wasiwas sabab hauna dalili hata moja.
grams normal za kisukari under fasting ni zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…