Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Kama mambo yenyewe yako hivyo itabidi niingie kwe fani hiyo aisee, ila naskia kuna ku testiwa!! Hukawii kujikuta asubuhi upo juu ya bati na nguo za kulalia😂😂😂
Ukiachiwa nguo wewe ujue una bahati na wamekupenda,mara nyingi ni kama ulivyo zaliwa😂😂😂sasa mzee baba unajikuta dushe liko kusini wewe uko mashariki ya mbali daah,inabidi kujipanga na wewe
 
Ukiachiwa nguo wewe ujue una bahati na wamekupenda,mara nyingi ni kama ulivyo zaliwa😂😂😂sasa mzee baba unajikuta dushe liko kusini wewe uko mashariki ya mbali daah,inabidi kujipanga na wewe
Hapa lazima Mshana Jr ahusike. Anipatie tuition angalau ya masaa mawili kwa siku lakini anipe kwanza kinga nisije kuonyesha sinema ya bure kwenye paa la nyumba😂😂😂
 
Unaikoroha na sukari? Maana juisi ya ukwaju kavu kavu hainyweki.
 

Thread nzuri sana
 
- Je unaandaliwa vipi huu ukwaju? na
- Matumizi yake yako vipi kama tiba ya kisukari?
- Kiasi gani kinatumika?
- Mara ngapi kwa siku?

My Take
- Ahsante kwa ku_share nasi.
hujui kuandaa jiuce mkuu,soma vzr maelezo yake,,maswali ulouliza yote kayaeleza vzr sana,umeambiwa andaa lt 5 za juice ya ukwaju [hujui inaandaliwaje hiyo ni ishu yako,tafuta maelezo ya kuansaa youtube],..matumizi yake keshakuambia kunywa glass 1 asbh kabla ya chai,then 1 mchana na moja ucku.sioni km kulikua na haja ya kuuliza tena badala yake labda tu kuijaribu na kuleta mrejesho hapa
 
Iko hivi
- Alipost kwanza maelezo ya awali - bila kuweka maelezo ambayo yako sasa.
- Angalia kwa umakini mistari niliyo m_quote. ndipo alipokuwa ameishia kuandika, kabla ya ku edit na kuongeza kipengele cha DOZI, yamkini ni kufuatia swali (/ maswali ) langu ndipo akakamilisha kama isomekavyo sasa.
- Ndugu bongonyoo tuko pamoja, na uwe na siku njema.
 
Sure Mkuu,niliambiwa dawa ya madonda ya tumbo ni maziwa ,asali mbichi na mayai mabichi( lakini ikumbukwe kuwa hosipitali walinikataza kutumia maziwa) dozi ni siku 3x 3/3 nami kwa vile nilitaka nipone nikafuata ushsuri wa tiba ,siku ya kwanza,siku ya pili hali ikawa mbaya kuliko hapo awali,nikawa ka nimeyatibua madonda nikaamua kusitisha dozi Mara moja,angalizo hizi tiba tuwe nazo makini sana ,
 
okay,,hapo nimekuelewa vzr boss,kumbe mwandiko wako ndo ulimsanua akaongezea dozi,,kuwahi kuusoma uzi mapema napo kuna raha yake kumbe,...shukran mkuu na pia samahani kwa mwandiko nilouandika kabla,....ila pia uko na ustaarabu sana..angekua mwingine hapo angeniteremshia mwandiko mchafu kinyama...thank u man..and have a gnight
 
Unaikoroha na sukari? Maana juisi ya ukwaju kavu kavu hainyweki.
Hapana kavu kavu yenyewe..ndio maana nmesema.

Glass moja asubuh...moja mchana ..moja jion



Hiii kitu inasaidia sana, wala hutoona mgonjwa wako mnampeleka tena Hosp ..
 
Mkuu naomba maelekezo ya ziada kidogo. Hiyo juice iwe plane yani isiwe na sukari? na je iwe nzito kwa maana ya kali au nyepesi mzimuo wa maji uwe mwingi?
Usiweke sukari mkuuu.


Isiwe kali yaan iwe katikati..

Nakoswa muda, ila ningewaandalia picha hatua kwa hatua.


Juice hii uchachu wake ,uwe ni ule ambao majumban kwetu tunatumia hata bila sukar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…