Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kuolewa tena? kama solution ni wanaume bora nilipuke tu mkuu na hili joto kwendeni hukoMmmh! High tempeprature? Huo ndio utamu wenyewe... Mwanamke mwenye 'tatizo' kama hilo ni ngumu sana kuachwa na mwanaume...
Other wise hiyo pia inaweza ikawa symptom ya nyg kali zilizozidi kipimo cha kawaida.
Suluhisho ni kuolewa tu na kuwa na uhakika wa 'cooling system' ya kushusha temperature...
mzizi mkavu njoo huku utoe tiba
Sasa joto linakuwaje huko chini?
yaani kunakuwa kwa moto hata ukikojoa utadhani mkojo umechemshwa mkuu...is it normal kweli kwa wanawake wenzangu?mzizi mkavu njoo huku utoe tiba
Sasa joto linakuwaje huko chini?
nasubiria madokta naona mabazazi tu hapa. yaani kuna moto balaaHahahahahaha bidada utakuwa na tanuri hko aisee cio kawaida!!!mpka kwny haja ndogo lol??pole madocta tunawahitaji hku!!!!
kweli ndugu siitaji mwanaume yoyote humu nina tatizo kweli me mbona nikitaka napata tu huku kitaa?biashara matangazo
Hahaha duuuhh..Mmmh! High tempeprature? Huo ndio utamu wenyewe... Mwanamke mwenye 'tatizo' kama hilo ni ngumu sana kuachwa na mwanaume...
Other wise hiyo pia inaweza ikawa symptom ya nyg kali zilizozidi kipimo cha kawaida.
Suluhisho ni kuolewa tu na kuwa na uhakika wa 'cooling system' ya kushusha temperature...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28]kuolewa tena? kama solution ni wanaume bora nilipuke tu mkuu na hili joto kwendeni huko
funga ACNaombeni msaada nini kinasababisha sehemu za siri mwanamke kuwa na moto sana?
na hakuna ugonjwa wowote.
Madhara yake ni nini?
Asanteni
mmTuanzie kwenye aina ya umbo la mwili wako, pia mavazi unayopendelea kuvaa.
mnene nina kilo mia navaa tu nguo nyepesi wala sivai vitu vingi chupi sketi chupi trouser skin tait sivai hataTuanzie kwenye aina ya umbo la mwili wako, pia mavazi unayopendelea kuvaa.
Hiyo ni hali ya kawaida, ila 100kgs ni nyingi.mnene nina kilo mia navaa tu nguo nyepesi wala sivai vitu vingi chupi sketi chupi trouser skin tait sivai hata
navaa chupi mara chache sana ofsini tu nikiwa nyumbani navuaHebu jalibu kutova chupi zen kuna majani nitiba sijuwi halo ulipo upo mjin au kijini ?
ni nyingi ndio sasa nifanyeje? uzito ndo unachangia huku chini kuwe na moto ?Hiyo ni hali ya kawaida, ila 100kgs ni nyingi.