Tatizo la kiuno na uti wa mgongo kukakamaa au kama kufa ganzi

Tatizo la kiuno na uti wa mgongo kukakamaa au kama kufa ganzi

jk1984

Member
Joined
Aug 26, 2024
Posts
11
Reaction score
9
Habari wakuu,

Nina changamoto kubwa ambayo inanitesa naombeni msaada wa mawazo. Kimsingi nina shida ya kiuno kufa ganzi au kukamaa kwa muda hususani ninapo enda haja au kukaa kwa muda mrefu sijaju shida ni nini.

Pili naomba kujua kwa undani zaidi kwa wenye uelewa nimekuwa ni muumini wa punyeto tangu 1999 mpaka Leo na nina pata changamoto sana kuna wakati naskia vitu vinatembea kwenye uume na wakati mwingine baadhi ya scheme za mwili na kuuma sana mpaka natumia panadol ndio atleast Natulia. Mwenye ushauri wa kitaalqmu zaidi tusaidiane maana napata msongo wa mawazo.

Naombeni msaada wa mawazo.
 
1.Una umri gani kwa sasa
2.Tatizo lako lina muda gani tangu uanze kuhisi hali hiyo
3.Unafanya kazi gani au unajishughulisha na kazi gani kwa sasa
4.Tangu uanze kuhisi hali hiyo umepata matibabu yapi au umetumia dawa zipi..
Nipe majibu ya hayo maswali kabla sijakupa ushauri tiba kwa shida yako
 
Habari wakuu,

Nina changamoto kubwa ambayo inanitesa naombeni msaada wa mawazo. Kimsingi nina shida ya kiuno kufa ganzi au kukamaa kwa muda hususani ninapo enda haja au kukaa kwa muda mrefu sijaju shida ni nini.

Pili naomba kujua kwa undani zaidi kwa wenye uelewa nimekuwa ni muumini wa punyeto tangu 1999 mpaka Leo na nina pata changamoto sana kuna wakati naskia vitu vinatembea kwenye uume na wakati mwingine baadhi ya scheme za mwili na kuuma sana mpaka natumia panadol ndio atleast Natulia. Mwenye ushauri wa kitaalqmu zaidi tusaidiane maana napata msongo wa mawazo.

Naombeni msaada wa mawazo.
Kameze Amox clav zitamaliza tatizo
 
1.Una umri gani kwa sasa
2.Tatizo lako lina muda gani tangu uanze kuhisi hali hiyo
3.Unafanya kazi gani au unajishughulisha na kazi gani kwa sasa
4.Tangu uanze kuhisi hali hiyo umepata matibabu yapi au umetumia dawa zipi..
Nipe majibu ya hayo maswali kabla sijakupa ushauri tiba kwa shida yako
1.39
2.2mnths
3.bodaboda
4.sijapata
 
Habari wakuu,

Nina changamoto kubwa ambayo inanitesa naombeni msaada wa mawazo. Kimsingi nina shida ya kiuno kufa ganzi au kukamaa kwa muda hususani ninapo enda haja au kukaa kwa muda mrefu sijaju shida ni nini.

Pili naomba kujua kwa undani zaidi kwa wenye uelewa nimekuwa ni muumini wa punyeto tangu 1999 mpaka Leo na nina pata changamoto sana kuna wakati naskia vitu vinatembea kwenye uume na wakati mwingine baadhi ya scheme za mwili na kuuma sana mpaka natumia panadol ndio atleast Natulia. Mwenye ushauri wa kitaalqmu zaidi tusaidiane maana napata msongo wa mawazo.

Naombeni msaada wa mawazo.
YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA NA TIBA YAKE

🌱Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno
huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na
wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika
vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya
yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

🌱Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya
kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu Na
mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya
utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, Kukaaaa
kuruka…

👉SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
1⃣.kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo (musterbation).
2⃣.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3⃣.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4⃣.mawazo (stress) nyingi
5⃣.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO ,
6⃣. U . T . I sugu , UTI sugu hupelekea maumivu hayo
Zipo dawa za kutibu magonjwa yote ya mkojo na kibofu
Na pia magonjwa ya zinaa
7⃣. Umri _kuzeeka ,,,
8⃣.Kutofanya mazoez Mara kwa Mara

🌱Je ukipuuza maumivu haya haya na kuyachukulia ni suala la kawaida unaweza kuathirika kivipi?
👉.Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa
👉.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili
👉.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia
👉.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala
👉.Hupelekea ganzi ya baadhi ya viungo
👉.Kuzidi kusambaa kwa maumivu mwili mzima hasa sehem zenye joint

kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
what's app /call.
+255656303019
" Chief Sang'ida "
 
YAJUE MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA NA TIBA YAKE

🌱Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno
huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na
wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika
vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya
yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

🌱Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya
kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu Na
mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya
utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, Kukaaaa
kuruka…

👉SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
1⃣.kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo (musterbation).
2⃣.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3⃣.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4⃣.mawazo (stress) nyingi
5⃣.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO ,
6⃣. U . T . I sugu , UTI sugu hupelekea maumivu hayo
Zipo dawa za kutibu magonjwa yote ya mkojo na kibofu
Na pia magonjwa ya zinaa
7⃣. Umri _kuzeeka ,,,
8⃣.Kutofanya mazoez Mara kwa Mara

🌱Je ukipuuza maumivu haya haya na kuyachukulia ni suala la kawaida unaweza kuathirika kivipi?
👉.Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa
👉.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili
👉.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia
👉.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala
👉.Hupelekea ganzi ya baadhi ya viungo
👉.Kuzidi kusambaa kwa maumivu mwili mzima hasa sehem zenye joint

kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
what's app /call.
+255656303019
" Chief Sang'ida "
Na kusikia vitu vinachoma choma na kutembea katika mwili ni dalili za nini?
Pili nakushukuru sana kwa ushauri nitakupigia
 
Kwa maaana ipi?maelezo zaidi tafdhali
🌳 FAHAMU KUHUSU MCHAFUKO WA DAMU 🌳
(SEPTCEMA TOXEMIA)
⚡Ni Kuwepo kwa pvijidudu kwenye damu yaani "sepitcema" Kama vile virusi, Bacteria, fungi au protozoa.
⚡Kuongezeka kwa uchafu unaotokana na viungo vya mwili kushindwa kufanya kazi.
⚡Kiwango Cha juu Cha masalio na chembechembe au uchafu unaotokana na usagaji wa chakula kwenye tumbo au madaw ikiwemo sumu na mihadarati au miale ya radiations kwenye nyanja za matibabu n.k

🌱 DALILI ZA MCHAFUKO WA DAMU 🌱
👉Homa kali
👉 Kuwashwa mwili na Kutokwa vipele
👉 Kichefuchefu na kutapika
👉Kuhara
👉 Kupumua kwa shida
👉 Shinikizo la damu kuwa chini Sana kutokana na kutanuka kwa mishipa ya damu.
👉Kujiskia/kujihisi vibaya
👉Mabadiliko katika hali ya akili kama vile kuchanganyikiwa
👉Kupungua kwa joto la mwili
👉kupunguzua au kutokuwepo kwa pato la mkojo
👉kupumua kwa kasi
👉Damu kupungua.
👉Petechiae, ishara ya bacteremia. Petechiae ni vidonda vinavyotokea chini ya ngozi, vinaweza kuwa vidogo na vinavyoenea au vinaweza kuunganika kuunda vidonda vikubwa, vidonda vyenye seli zilizokufa.
👉Maumivu ya mifupa

🍃 ATHARI ZA MCHAFUKO WA DAMU 🍃
⚡ Dosari kwenye organs za mwili Kama Figo, Ini na Moyo.
⚡ Dosari Katika mishipa ya damu
⚡ Kuathiri afya ya ngozi (vipele n.k)
⚡ Kuharibika kwa homoni
⚡ Kuathiriwa kwa mmeng'enyo wa chakula
⚡ Athari katika kinga ya mwili n.k

MATIBABU

Tiba sahihi ya tatizo ili kusafisha mfumo wa damu na kubadili mfumo wa vyakula (DETOXIFICATION).
 
Back
Top Bottom