M mperwa Member Joined Sep 3, 2009 Posts 28 Reaction score 0 Jan 11, 2011 #1 Hi wana Jf , nasumbuliwa na kiuno sana mpaka kuna kipindi nashindwa hata kuinuka wala kugeuka, nimejifungua miez mitano iliyopita wengine wananambia nilianza fanya kazi mapema kabla ya kupona vizuri, ya kweli haya? Naombeni ushauri jamani!
Hi wana Jf , nasumbuliwa na kiuno sana mpaka kuna kipindi nashindwa hata kuinuka wala kugeuka, nimejifungua miez mitano iliyopita wengine wananambia nilianza fanya kazi mapema kabla ya kupona vizuri, ya kweli haya? Naombeni ushauri jamani!
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Jan 12, 2011 #2 Kama hukupumzika inawezekana ndo ilikua sababu!Ngoja tusibiri wataalamu watueleze!Pole lakini!