Nimemgegeda mwanamke mmoja nikiwa nimevaa kondomu sasa wakati nimepiga bao nachomoa dushe hili nibadili nivae nyingine nikakuta kondomu imesogea mbele yaani nusu ya dushe ilikuwa wazi na wakati mwanzo niliivaa fresh tu...jambo lililonikata stimu na mechi ikaishia pale pale maana hata mwanamke wenyewe sijui status yake
Ninaomba ushauri je nifanye nini na je naweza kunywa PEP haraka
Ninaomba ushauri je nifanye nini na je naweza kunywa PEP haraka