ananiomba ushauri afanye nini juu ya tatizo hilo, wachache aliowaomba ushauri wamemwambia sababu yeye ni bonge hvyo inabidi apunguze mwili, lakini process hii matokeo yake si leo wala kesho, mimi mwenyewe sikuwa na chakumshauri, nimemwambia subir kwanza, hivyo watu wangu wa nguvu kama kuna anayefahamu soln yake wakati huo mwili ukipungua taratibu-taratibu naomba msaada wako.
thanks in advance.
Sasa nani mtu wako wa nguvu? Wewe vipi?