Tatizo la kucopy na kupaste, Wasabato na matibabu ya Bure kupitia Mkuu wa Mkoa wapi na wapi?

Tatizo la kucopy na kupaste, Wasabato na matibabu ya Bure kupitia Mkuu wa Mkoa wapi na wapi?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Bi wa Dodoma anafuata ya Makonda Arusha.

IMG-20240711-WA0122.jpg
 
Bi wa Dodoma anafuata ya Makonda Arusha.
Ukiona tiba inafanywa kwa mfumo wa camp kama ile ya Arusha aliyofanya Bashite au hii ya Dodoma ya Sinyamule ujuwe hiyo ni DALILI kuwa mfumo wa tiba wa Serikali UMEFELI.

Huwezi kutibu wananchi wako kwa siku moja au 2. Huo ni UPUMBAVU wa kutaka sifa kwa aliyeandaa kambi. Mfumo wa tiba ya kibingwa unapaswa kuwa ni packaged and sustainable. Yaani unapaswa kuwa kamilifu na endelevu.

Nina hakika hizi kambi hazina baraka za wizara ya afya
 
Tunapaswa tupongeze kwa mema na sio kuonesha mshangao kama mtoa mada unavyoashiria kupitia post yako

Je kuna ubaya kwa RC kumobilose utoaji wa huduma za Afya???

Jambo jema lipongezwe, na liwe chachu kwa wengine kujitoa kwa ajili ya kuigusa jamii
Hili jambo siyo jema. Hakuna mtu atakwenda kupona kwenye hiyo kambi. Sanasana utakutana na wagonjwa walewale ambao wana chain yao tayari kwenye mfumo wa tiba through NHIF na referral systems zingine.

Kama unamfahamu DAKTARI yeyote ambaye ni ndugu yako au rafiki muulize akupe opinion. Ila usiwaulize wale ambao watashiriki hii camp kwa vile wao watalipwa posho (perdiem)
 
Huduma za afya zikitolewa Bure ni jambo jema sana... Kuna baadhi ya wenzetu hawawezi kugharamia gharama za matibabu
Huduma ya afya siyo kumuona daktari tu. Bali ni comprehensive ikihusu vipimo vya maabara, radiologia, upasuaji na dawa.

Sidhani kama hiyo kambi itakuwa na package yote hiyo.

Nakubaliana na mtoa mada kwamba RC amekurupuka. Ni nini atakachotoa pale ambacho hakipo pale Benjamin Mkapa Zonal Referral Hospital?
 
Wakimaliza huko sogeeni na huku tulipo, nahitaji huduma yenu!.
 
Huduma ya afya siyo kumuona daktari tu. Bali ni comprehensive ikihusu vipimo vya maabara, radiologia, upasuaji na dawa.

Sidhani kama hiyo kambi itakuwa na package yote hiyo.

Nakubaliana na mtoa mada kwamba RC amekurupuka. Ni nini atakachotoa pale ambacho hakipo pale Benjamin Mkapa Zonal Referral Hospital?
je unamhukumu RC kukurupuka kwa hoja ya udhani kama kambi yao ya matibabu itakuwa na package kamili? je vipi ikiwa dhana yako si kweli? Tafuta taarifa sahihi na za uhakika kisha toa hukumu.
 
je unamhukumu RC kukurupuka kwa hoja ya udhani kama kambi yao ya matibabu itakuwa na package kamili? je vipi ikiwa dhana yako si kweli? Tafuta taarifa sahihi na za uhakika kisha toa hukumu.
Huu ni ujinga, Serikali iwekeze kwenye Huduma za afya iache kugeuza huduma za afya kuwa siasa, hapo naona siasa tupu
 
SDA WAO NDIO WAANZILISHI WA SIKU NYNGI KUTOA HUDUMA HZO LABDA USEME MAKONDA ALICOPY KUTOKA KWAO.ALAFU KUNA UBAYA GANI HAPO?HUO NI MSAADA KM HAUHITAJI KUNA WANAOHITAJI.
 
Kipeperushi Cha meli ya jeshi la watu wa jamhuri ya china itakayotia nanga bandari nacho hujakiona ?? ..nao wanamuiga ? ..
Medical camps hufanywa mara nyingi tu na taasisi mbalimbali, zingine huwa hazitangazwi kwa vipeperushi , binafsi nishashuhudia madaktari wa meno (dentists) wakifanya mikoa ya Kanda ya ziwa, pia nishashuhudia wataalamu wa ngozi ( dermatologists) ,
Suala mtambuka hapo RC kuwa mgeni rasmi ni kuiipa nguvu kambi na unavyosema wizara ya Afya haifahamu sidhani ni sahihi maana hao madaktari wamesajiliwa na mamlaka. So iwe wasabato, walutheri, Wasunni ( huchangia sana damu ) wakatoliki n.k cha msingi huduma iwafikie walengwa.
 
Kipeperushi Cha meli ya jeshi la watu wa jamhuri ya china itakayotia nanga bandari nacho hujakiona ?? ..nao wanamuiga ? ..
Medical camps hufanywa mara nyingi tu na taasisi mbalimbali, zingine huwa hazitangazwi kwa vipeperushi , binafsi nishashuhudia madaktari wa meno (dentists) wakifanya mikoa ya Kanda ya ziwa, pia nishashuhudia wataalamu wa ngozi ( dermatologists) ,
Suala mtambuka hapo RC kuwa mgeni rasmi ni kuiipa nguvu kambi na unavyosema wizara ya Afya haifahamu sidhani ni sahihi maana hao madaktari wamesajiliwa na mamlaka. So iwe wasabato, walutheri, Wasunni ( huchangia sana damu ) wakatoliki n.k chamsin huduma iwafikie walengwa.
 
Back
Top Bottom