P plas haule New Member Joined Jan 20, 2016 Posts 4 Reaction score 0 Feb 6, 2016 #1 Nina mchumba wangu anatatizo la kukosa kabisa hamu ya tendo ni mwaka sasa tangu awe hivyo na hata akijitahidi hapati kabisa ute hivyo anakuwa mkavu kabisa. Tafadhali anayejua suruhisho hili anisaidie.
Nina mchumba wangu anatatizo la kukosa kabisa hamu ya tendo ni mwaka sasa tangu awe hivyo na hata akijitahidi hapati kabisa ute hivyo anakuwa mkavu kabisa. Tafadhali anayejua suruhisho hili anisaidie.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Feb 6, 2016 #2 Mwanzoni hakua hivo? Uchumba una muda gani usikute ushazoeleka sana
P phenias Member Joined Jul 22, 2013 Posts 19 Reaction score 14 Feb 7, 2016 #4 Hapo ipo kazi,, umri ukisogea na mkazoeana itakuwa balaa zaidi.